• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Mrejesho |
    • Lalamika |
Musoma Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Musoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Wasifu wa Kijamii na Kiuchumi wa Halmashauri
      • Viongozi wetu
        • Mayors
        • Municipal Directors
    • Dira na Dhamira
    • Maadili yetu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu ya Sekondari
      • Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Idara ya Miundombinu, Vijijini na Mijini
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Usimamizi na Ununuzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Uhifadhi Maliasili na Mazingira
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
          • Kitengo cha Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
            • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Maeneo ya Viwanda
    • Usafirishaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za maji
    • Maombi ya Huduma
    • Uthibi wa Mazingira
    • Uthibiti wa Misitu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Elimu, Afya na Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili ya Madiwani
    • Ratiba ya vikao
  • Miradi
    • Miradi inayopendekezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Mpango wa Matumizi Bora ya Ardhi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mwongozo wa kushughulikia Malalamiko
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Wasifu wa Kijamii na Kiuchumi wa Halmashauri
    • Miongozo na Nyaraka
    • Sheria ndogo
    • Majarida
    • Council Budget
      • New menu item
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Makala

Bandari kufungua fursa zaidi za Uchumi

Imewekwa: May 16th, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Musoma Dr. Vincent Naano ameliambia baraza la madiwani kuwa ujenzi wa Bandari ya Musoma utaanza Mwezi Julai na kuongeza kuwa tayari zabuni ya ujenzi imekwisha tangazwa .

Katika hotuba yake aliyoitoa wakati wa mkutano wa baraza la madiwani lililofanyika jana Dr. Naano aliutaka uongozi wa Manispaa ya Musoma kuhakikisha biashara zote zilizokuwa zinafanyika katika eneo hilo la Bandari zinatafutiwa eneo jingine ikiwa ni pamoja na kuandaa miundo mbinu rafiki kwa wafanya biashara hao.

“Ni vyema sasa Halmashauri ikaanda mpango wa kuwapeleka wafanya biashara wa kuku katika soko la Kamunyonge ili kupisha eneo la Bandari” Alisema Dr. Naano na kuongeza kuwa “Suala la ujenzi wa Bandari halina mjadala tena vi vyema mjipange kuona namna ya kuboresha masoko mengine ili wafanya biashara watakaoondoka eneo la Bandari wapate mahali salama pa biashara zao.”

Dr. Naano aliongeza kuwa serikali ya awamu ya tano imekuwa mstari wa mbele katika kujenga miundo mbinu ya kiuchumi ili kuwawezesha wananchi kuongeza kipato chao na kuiongezea serikali mapato.

Fursa zinazotarajiwa baada ya ukamilishaji wa ujenzi wa Bandari ni pamoja na ajira mpya, ukuaji wa biashara na ongezeko la fursa za masoko zitakazotokana na mwingiliano wa wafanyabiashara na wananchi katika jumuiya ya Afrika Mashariki.

Hata hivyo Dr. Naano ameonya tabia ya baadhi ya watendaji wa Halmashauri kutochukua hatua za haraka katika utatuzi wa kero mbalimbali za wananchi na kusababisha serikali kulaumiwa.

“Tunataka kuona hatua za haraka na za makusudi ili azma ya kuwaletea wananchi maendeleo ionekane kwa vitendo, fursa zitakazoletwa na bandari nani anataka  kuzikosa?.” Alisema Dr. Naano.

Bandari ya Musoma ni kati ya Bandari za kimkakati katika ukanda wa Afrika Mashariki na kukamilika kwake kutafungua mawasiliano kwa nchi za Uganda na Kenya,

Matangazo

  • Terms of Reference for the provision of construction supervision consultancy services for urban infrastructure development in Musoma Municipality under the TACTIC Project March 06, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MTENDAJI WA MTAA III October 05, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO October 03, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO October 03, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Mvua iliyoambatana na upepo yasababisha maafa Manispaa ya Musoma

    March 24, 2025
  • UKAGUZI WA MIRADI

    November 05, 2024
  • Watumishi waaswa kuchapa kazi bila kujali uchache wao

    September 08, 2022
  • Dc musoma ataka ubunifu katika uanzishaji wa miradi ya kuongeza kipato

    September 08, 2022
  • Tazama zote

Video

Hotuba ya aliyekuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara
Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sisi ni nani
  • Dira na Dhamira

Viunganishi Linganifu

  • IKULU
  • Tovuti ya Mikopo ya wajasiriamali
  • Public Service Management
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Musoma Municipal Council

    Sanduku la Posta: Box 194 Musoma

    Simu: 0282622560

    Simu ya Mkononi: +255754013734

    Barua pepe: info@musomamc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2017 GWF . All rights reserved.