• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Mrejesho |
    • Lalamika |
Musoma Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Musoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Wasifu wa Kijamii na Kiuchumi wa Halmashauri
      • Viongozi wetu
        • Mayors
        • Municipal Directors
    • Dira na Dhamira
    • Maadili yetu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu ya Sekondari
      • Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Idara ya Miundombinu, Vijijini na Mijini
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Usimamizi na Ununuzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Uhifadhi Maliasili na Mazingira
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
          • Kitengo cha Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
            • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Maeneo ya Viwanda
    • Usafirishaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za maji
    • Maombi ya Huduma
    • Uthibi wa Mazingira
    • Uthibiti wa Misitu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Elimu, Afya na Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili ya Madiwani
    • Ratiba ya vikao
  • Miradi
    • Miradi inayopendekezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Mpango wa Matumizi Bora ya Ardhi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mwongozo wa kushughulikia Malalamiko
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Wasifu wa Kijamii na Kiuchumi wa Halmashauri
    • Miongozo na Nyaraka
    • Sheria ndogo
    • Majarida
    • Council Budget
      • New menu item
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Makala

Baraza la Madiwani latunga Sheria Ndogo Mpya

Imewekwa: August 3rd, 2017

Baraza la Madiwani latunga jumla ya Sheria Ndogo Tisa.

Kikao cha baraza la madiwani kilichoketi tarehe 02.08.2017 kimejadili na kupitisha jumla ya sheria ndogo tisa ambazo zimefanyiwa marekebisho na nyingine kutungwa upya.

Sheria ambazo zimefanyiwa marekebisho ni pamoja na ushuru wa huduma, usimamizi wa masoko,magulio na minada,ada ya uzoaji, utupaji taka na usafi wa mazingira pamoja na ada na ushuru mbalimbali.

Aidha, sheria ndogo zinazopendekezwa ni pamoja na ada ya uthibiti na uchimbaji madini ya ujenzi, Uthibiti na usimamizi rasilimali za uvuvi katika mialo, Ulinzi wa Umma pamoja na Kilimo na usalama wa chakula.

Mapendekezo ya utunzi wa sharia mpya na marekebisho yake yanatokana na ukweli kwamba sheria zilizopo sasa ni za muda mrefu na haziendani na uhalisia wa sasa.Mara ya mwisho baraza la madiwani kutunga sheria ndogo ilikuwa mwaka 2010.

Awali akiwasilisha rasimu ya sheria mpya mwanasheria wa Manispaa Bi. Savella Paulo kwa niaba ya Mkurugenzi aliueleza mkutano wa Baraza kuwa sheria zinazopendekezwa zimepitia taratibu zote kabla ya kuletwa katika kikao cha baraza.

Sheria hizo zinalenga kuimarisha ukusanyaji wa mapato ya Halmashauri na kuongeza uwezo wa Halmashauri kujitegemea pamoja na kuweka mazingira bora ya utoaji huduma kwa umma.

Akihitimisha hoja ya kujadili na kupitisha sheria hizo ndogo Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa Mhe. William Gumbo aliueleza mkutano wa baraza kuwa mchakato wa kutunga sheria ndogo ukikamilika utatoa nafuu kubwa katika ukusanyaji wa mapato ya Halmashauri.

“Sheria hizi ni muhimu sana kwa ajili ya kuongeza wigo wa mapato yetu ikizingatiwa kuwa Halmashauri ina upungufu mkubwa wa vyanzo vya mapato ambao unapelekea ukusanyaji wa mapato kuwa finyu na usiokidhi mahitaji ya Halmashauri katika utoaji huduma” alisema Mhe. Gumbo.

Jitihada za kutunga na kuboresha sheria ndogo zinakuja wakati serikali kuu ikiwa tayari imeondoa baadhi ya vyanzo vilivyokuwa vinakusanywa na halmashauri kama kodi ya majengo, kodi ya mabango, pamoja na kodi ya hotel.

Sheria hizi zinatarajiwa kupekekwa katika wizara ya Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa kwa ajili ya kuidhinishwa tayari kwa kutumika kama sheria rasmi.

Matangazo

  • Terms of Reference for the provision of construction supervision consultancy services for urban infrastructure development in Musoma Municipality under the TACTIC Project March 06, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MTENDAJI WA MTAA III October 05, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO October 03, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO October 03, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Mvua iliyoambatana na upepo yasababisha maafa Manispaa ya Musoma

    March 24, 2025
  • UKAGUZI WA MIRADI

    November 05, 2024
  • Watumishi waaswa kuchapa kazi bila kujali uchache wao

    September 08, 2022
  • Dc musoma ataka ubunifu katika uanzishaji wa miradi ya kuongeza kipato

    September 08, 2022
  • Tazama zote

Video

Hotuba ya aliyekuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara
Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sisi ni nani
  • Dira na Dhamira

Viunganishi Linganifu

  • IKULU
  • Tovuti ya Mikopo ya wajasiriamali
  • Public Service Management
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Musoma Municipal Council

    Sanduku la Posta: Box 194 Musoma

    Simu: 0282622560

    Simu ya Mkononi: +255754013734

    Barua pepe: info@musomamc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2017 GWF . All rights reserved.