• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Mrejesho |
    • Lalamika |
Musoma Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Musoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Wasifu wa Kijamii na Kiuchumi wa Halmashauri
      • Viongozi wetu
        • Mayors
        • Municipal Directors
    • Dira na Dhamira
    • Maadili yetu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Rasilimali Watu na Utawala
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Idara ya Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Idara ya Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mipango Miji na Ardhi
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Usafishaji na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria na Usalama
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Teknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Maeneo ya Viwanda
    • Usafirishaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za maji
    • Maombi ya Huduma
    • Uthibi wa Mazingira
    • Uthibiti wa Misitu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Elimu, Afya na Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili ya Madiwani
    • Ratiba ya vikao
  • Miradi
    • Miradi inayopendekezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Mpango wa Matumizi Bora ya Ardhi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mwongozo wa kushughulikia Malalamiko
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Wasifu wa Kijamii na Kiuchumi wa Halmashauri
    • Miongozo na Nyaraka
    • Sheria ndogo
    • Majarida
    • Council Budget
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Makala

DC ahimiza Ushirikiano Anuani za Makazi

Imewekwa: March 7th, 2022

DC Ahimiza Ushirikiano katika zoezi la Anuani za Makazi

Mkuu wa Wilaya ya Musoma Mhe. Halfany Haule amewataka wenyeviti wa Mitaa kuacha mara moja kutanguliza maslahi binafsi na badala yake watangulize maslahi ya taifa katika utekelezaji wa zoezi la anuani za makazi.

“Wapo baadhi ya wenyeviti wa Mitaa ambao hawatoi ushirikiano wa kutosha katika kufanikisha zoezi hili la anuani za makazi kwa wataalamu, hii sio sawa natoa wito kwa wenyeviti kutanguliza maslahi ya taifa mbele” alisema Mhe. Haule.

Mhe. Haule ametoa rai hiyo katika mkutano wa  baraza la madiwani kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Manispaa ya Musoma.

Mkuu wa Wilaya ameendelea kusisitiza kuwa zoezi la anuani za makazi lina manufaa makubwa kwa wananchi, hivyo linatakiwa kufanywa kwa weledi na kujituma ili kufikia malengo yaliyowekwa.

Aidha, Mhe. Haule amesisitiza kuwa muda uliowekwa kwa zoezi hili ni mdogo, wataalam wanatakiwa kutumia jitihada mbalimbali kukamilisha zoezi kwa wakati na kwa ubora unaohitajika.

Kwa upande mwingine Mhe. Haule amewataka watumishi kufanya kazi kwa tija na kuonya kuwa watumishi wazembe hawavumiliki hasa katika Serikali ya awamu ya  sita.

Amewaelekeza pia watendaji wa Kata na Mitaa kuhakikisha wajasiriamali maarufu kama machinga hawarudi katika maeneo waliyoondolewa na mtendaji yoyote atakakaeshindwa kutekeleza hatua stahiki zitachukuliwa dhidi yake.

Mkutano wa baraza la Madiwani umepokea na limepitisha taarifa na maazimo mbalimbali kutoka katika kamati za kudumu   

Matangazo

  • Tangazo la matokeo ya zabuni ya ujenzi wa barabara za lami Mjini February 17, 2017
  • mikataba ya zabuni iliyotolewa kwa mwaka wa fedha 2015-2016 na 2016-2017 August 01, 2017
  • Matokeo ya Ununuzi wa Gari la Taka September 12, 2017
  • Tangazo la Zabuni za Mapato September 12, 2017
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • DC ahimiza Ushirikiano Anuani za Makazi

    March 07, 2022
  • Manispaa ya Musoma kujielekeza kuinua Elimu, uchumi kwa wakazi wake

    February 12, 2021
  • Naridhika na Utendaji wenu - Meya

    February 15, 2021
  • Mkuu wa Wilaya asisitiza Chakula Mashuleni

    February 12, 2021
  • Tazama zote

Video

Hotuba ya aliyekuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara
Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sisi ni nani
  • Dira na Dhamira

Viunganishi Linganifu

  • IKULU
  • Public Service Management
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Musoma Municipal Council

    Sanduku la Posta: Box 194 Musoma

    Simu: 0282622560

    Simu ya Mkononi: +255755215348

    Barua pepe: info@musomamc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2017 GWF . All rights reserved.