• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Mrejesho |
    • Lalamika |
Musoma Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Musoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Wasifu wa Kijamii na Kiuchumi wa Halmashauri
      • Viongozi wetu
        • Mayors
        • Municipal Directors
    • Dira na Dhamira
    • Maadili yetu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu ya Sekondari
      • Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Idara ya Miundombinu, Vijijini na Mijini
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Usimamizi na Ununuzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Uhifadhi Maliasili na Mazingira
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
          • Kitengo cha Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
            • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Maeneo ya Viwanda
    • Usafirishaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za maji
    • Maombi ya Huduma
    • Uthibi wa Mazingira
    • Uthibiti wa Misitu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Elimu, Afya na Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili ya Madiwani
    • Ratiba ya vikao
  • Miradi
    • Miradi inayopendekezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Mpango wa Matumizi Bora ya Ardhi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mwongozo wa kushughulikia Malalamiko
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Wasifu wa Kijamii na Kiuchumi wa Halmashauri
    • Miongozo na Nyaraka
    • Sheria ndogo
    • Majarida
    • Council Budget
      • New menu item
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Makala

Magufuli aitangaza Mara kama mkoa wa ukombozi

Imewekwa: September 5th, 2018

Magufuli aitangaza  Mara kama mkoa wa Ukombozi

Rais Magufuli  awataka watendaji wa serikali na wananchi wa mkoa wa Mara kuutazama mkoa wa Mara kama mkoa wa ukombozi.

Akizungumza na wananchi pamoja na viongozi mbalimbali katika viwanja vya shule ya Msingi Mukendo  Manispaa ya Musoma,Rais Magufuli ameahidi kutoutupa Mkoa wa Mara.

“Mkoa wa Mara ni Mkoa  maalum” amesema Rais Magufuli ”lazima tuuenzi Mkoa huu kwa sababu ni Mkoa   wa Ukombozi” ameendelea kusisitiza Rais Magufuli.

Rais Magufuli amesema kwamba kuna watu wameshasahau alichofanya Baba wa Taifa Mwl J.K, Nyerere katika ukombozi wa nchi hii.

 “sisi Watanzani hatujivunii vitu vyetu vizuri ,hata sisi Viongozi tulionufaika na Taifa hili tumesahau yote hayo” alisema Rais Magufuli .

Hata hivyo, Rais amewataka viongozi kuendeleza mipango ya Baba wa Taifa kwa kuboresha shughuli za maendeleo na kuwaasa Viongozi kutekeleza majukumu yao kwa ukamilifu na tija.

“Yote aliyoanzisha baba wa Taifa ni mawazo matakatifu na yaendelezwe, viwanda vyote alivyoanzisha lazima vifufuliwe” na kuongeza “Tukiwa na viwanda matatizo mengi yatatatuliwa ikiwa pamoja na ajira kwa vijana”. Alisema Rais.

Miongoni mwa mipango hiyo ni matumizi ya usafiri wa Meli katika ziwa victori,kufufua kiwanda cha Mutex na viwanda vingine vilivyokufa,pamoja na uboreshaji wa kiwanja cha ndege.

Hivyo katika  kutambua umuhimu wa mkoa huu wa kihistoria pamoja na mambo mengine Rais Magufuli amewajuza   wananchi kuwa serikali imetenga billioni 2 mwaka huu wa fedha kwa ajili ya kumalizia ujenzi wa hospitali ya rufaa ya Kwangwa ambayo ujenzi wake umechukuwa muda mrefu.

Rais pia ametaka hatua stahiki zichukuliwe kwa mwekezaji wa hotel ya Musoma hotel ikiwa ni pamoja na kunyang’anywa kwa kuwa ameshindwa kuiendeleza kwa zaidi ya miaka kumi na kuifanya kuendelea kuchakaa.

Rais pia amemwagiza waziri wa ujenzi na uchukuzi Isaack Kamwene kuhakikisha ujenzi wa barabara ya Musoma Busekela inaanza kujengwa ikiwa ni moja ya ahadi alizozitoa wakati akiomba ridhaa ya kuchaguliwa kuwa rais wa Tanzania.

Ziara ya Rais itaendelea kesho ambapo atatembelea wilaya ya Butiama na Serengeti.

Matangazo

  • Terms of Reference for the provision of construction supervision consultancy services for urban infrastructure development in Musoma Municipality under the TACTIC Project March 06, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MTENDAJI WA MTAA III October 05, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO October 03, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO October 03, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Mvua iliyoambatana na upepo yasababisha maafa Manispaa ya Musoma

    March 24, 2025
  • UKAGUZI WA MIRADI

    November 05, 2024
  • Watumishi waaswa kuchapa kazi bila kujali uchache wao

    September 08, 2022
  • Dc musoma ataka ubunifu katika uanzishaji wa miradi ya kuongeza kipato

    September 08, 2022
  • Tazama zote

Video

Hotuba ya aliyekuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara
Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sisi ni nani
  • Dira na Dhamira

Viunganishi Linganifu

  • IKULU
  • Tovuti ya Mikopo ya wajasiriamali
  • Public Service Management
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Musoma Municipal Council

    Sanduku la Posta: Box 194 Musoma

    Simu: 0282622560

    Simu ya Mkononi: +255754013734

    Barua pepe: info@musomamc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2017 GWF . All rights reserved.