• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Mrejesho |
    • Lalamika |
Musoma Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Musoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Wasifu wa Kijamii na Kiuchumi wa Halmashauri
      • Viongozi wetu
        • Mayors
        • Municipal Directors
    • Dira na Dhamira
    • Maadili yetu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu ya Sekondari
      • Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Idara ya Miundombinu, Vijijini na Mijini
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Usimamizi na Ununuzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Uhifadhi Maliasili na Mazingira
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
          • Kitengo cha Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
            • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Maeneo ya Viwanda
    • Usafirishaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za maji
    • Maombi ya Huduma
    • Uthibi wa Mazingira
    • Uthibiti wa Misitu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Elimu, Afya na Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili ya Madiwani
    • Ratiba ya vikao
  • Miradi
    • Miradi inayopendekezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Mpango wa Matumizi Bora ya Ardhi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mwongozo wa kushughulikia Malalamiko
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Wasifu wa Kijamii na Kiuchumi wa Halmashauri
    • Miongozo na Nyaraka
    • Sheria ndogo
    • Majarida
    • Council Budget
      • New menu item
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Makala

RC MTAMBI AWAHIMIZA WANANCHI, WAFANYABIASHARA KUCHANGAMKIA FURSA ZITOKANAZO NA MIRADI MIPYA

Imewekwa: August 12th, 2025

RC MTAMBI AWAHIMIZA WANANCHI, WAFANYABIASHARA KUCHANGAMKIA FURSA ZITOKANAZO NA MIRADI MIPYA.

Mkuu wa mkoa wa mara kanali Evans Mtambi amewataka wananchi na wafanyabiashara manispaa ya musoma kuchangamkia fursa zitakazo kwenda kujitokeza baada ya kukamilika kwa miradi mbalimbali ya kimaendeleo inayoendelea kufanyika na ile itakayo anza hivi karibuni.

Ameyasema hayo alipokua akihutubia katika hafla ya utiaji saini mikataba ya ujenzi wa kituo cha mabasi bweri ,soko la nyasho pamoja na ujenzi wa barabara za mukendo ,shabani na musoma basi hadi sanane zenye jumla ya kilometres 3.3 ukiwa ni mradi wa uboreshaji miundombinu ya miji ya Tanzania (TACTIC) iliyofanyika katika viwanja vya nyasho stand.

Aidha kanali Mtambi amewataka wafanyabiashara kujipanga wakati huu ambapo miradi hii inapokwenda kuanza kuzitambua fursa mapema ili waweze kujiongezea kipato na kujikwamua kiuchumi. amesema

"Tunatarajia watalii watatua hapa ,sasa niwatake wale wenye uwezo katika nyanja mbalimbali, wafanyabiashara wakati wa kujipanga ni sasa anzeni kujenga mahotel sasa "

Lakini pia amewataka wananchi wa manispaa ya musoma kuhakikisha wanaitunza miradi hiyo mipya itakayojengwa na ile ya zamani ili ziweze kua na manufaa endelevu kwao na taifa kiujumla.

Miradi hii itagharimu takribani billion 19.975 fedha inayofadhiliwa na serikali kuu kupitia mkopo wa benki ya dunia wenye thamani ya dola za kimarekani million 410 bila VAT ukiwa na lengo la uboreshaji wa miundombinu ya miji ya Tanzania.

miradi itakayotekelezwa ni pamoja na ujenzi wa kituo cha mabasi Bweri, soko la Nyasho, barabara za katikati ya mji za Mukendo( 1.36), Shabani (m 500) na Musoma Bus- Sanane (1.5) na ujenzi wa jengo la usimamizi na uratibu wa miradi. 

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 06, 2025
  • Terms of Reference for the provision of construction supervision consultancy services for urban infrastructure development in Musoma Municipality under the TACTIC Project March 06, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO October 03, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO October 03, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC MTAMBI AWAHIMIZA WANANCHI, WAFANYABIASHARA KUCHANGAMKIA FURSA ZITOKANAZO NA MIRADI MIPYA

    August 12, 2025
  • WANAFUNZI 11 WAREJESHWA KUENDELEA NA MASOMO MANISPAA YA MUSOMA

    July 30, 2025
  • RC MTAMBI AIPONGEZA MANISPAA YA MUSOMA KWA KUPATA HATI SAFI YA UKAGUZI

    June 02, 2025
  • Mvua iliyoambatana na upepo yasababisha maafa Manispaa ya Musoma

    March 24, 2025
  • Tazama zote

Video

Hotuba ya aliyekuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara
Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sisi ni nani
  • Dira na Dhamira

Viunganishi Linganifu

  • IKULU
  • Tovuti ya Mikopo ya wajasiriamali
  • Public Service Management
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Musoma Municipal Council

    Sanduku la Posta: Box 194 Musoma

    Simu: 0282622560

    Simu ya Mkononi: +255754013734

    Barua pepe: info@musomamc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2017 GWF . All rights reserved.