• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Mrejesho |
    • Lalamika |
Musoma Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Musoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Wasifu wa Kijamii na Kiuchumi wa Halmashauri
      • Viongozi wetu
        • Mayors
        • Municipal Directors
    • Dira na Dhamira
    • Maadili yetu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu ya Sekondari
      • Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Idara ya Miundombinu, Vijijini na Mijini
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Usimamizi na Ununuzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Uhifadhi Maliasili na Mazingira
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
          • Kitengo cha Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
            • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Maeneo ya Viwanda
    • Usafirishaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za maji
    • Maombi ya Huduma
    • Uthibi wa Mazingira
    • Uthibiti wa Misitu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Elimu, Afya na Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili ya Madiwani
    • Ratiba ya vikao
  • Miradi
    • Miradi inayopendekezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Mpango wa Matumizi Bora ya Ardhi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mwongozo wa kushughulikia Malalamiko
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Wasifu wa Kijamii na Kiuchumi wa Halmashauri
    • Miongozo na Nyaraka
    • Sheria ndogo
    • Majarida
    • Council Budget
      • New menu item
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Makala

Siko tayari Watanzania wanyanyasike

Imewekwa: September 5th, 2018

Siko Tayari  Watanzania Maskini wanyanyasike – Magufuli

Rais Magufuli amewataka viongozi na watendaji wa Serikali kujitathimini katika utendaji wao na kuchukua hatua stahiki katika kuwahudumia wananchi.

Rais amesisitiza viongozi kuweka maslahi ya wananchi mbele na kuondokana na ubinafsi na kutumia vibaya madaraka waliyonayo na kusahau kuwa madaraka hayo yanatokana na wananchi.

Baadhi ya mambo yaliyomsikitisha Rais ni pamoja na kasi ndogo katika kushughulikia kero mbalimbali za wananchi na kutaka hali hiyo ikomeshwe mara moja.

“Madaraka ni ya muda mfupi, lazima viongozi wote wajue hilo. Urais wangu pia ni temporary” Alisema Rais kwa msisitizo.

Rais aliongeza kuwa ikiwa uwajibikaji kwa viongozi utapewa mkazo changamoto nyingi zitatatuliwa bila ulazima wa kumsubiri Rais na kwamba mkoa wa mara kwa asili yake utakuwa umeenziwa.

“Nataka siku moja watu wakija Musoma wajue ndipo mahali alipotoka baba wa Taifa” Alisema Rais.

Viongozi wanatakiwa kujifunza kuwatumikia wananchi na kutatua kero zao.

“Mimi nitaendelea kufukuza hata kama ni kila siku, ili watendaji wafahamu kuwa vyeo walivyonavyo ni dhamana. Ninachofanya ni kata mti panda mti” Alisema Rais Magufuli.

Vile vile aliweka wazi kuwa analojukumu la kuwatumikia wananchi kwa jasho kubwa.

Kwa upande mwingine Rais akijibu ombi la mbunge wa jimbo la Musoma Mjini Vedastus Mathayo kuhusu upanuzi wa eneo la utawala la Manispaa ya Musoma alisema suala hilo lipo ndani ya uwezo wa Manispaa.

“Ni lazima muangalie gharama za upanuzi wa mji wenu. Kupanga ni kuchagua”. Alisema Rais Magufuli.

Rais aliendelea kueleza kuwa upanuzi wa mji upo chini ya mamlaka ya Manispaa kwa mujibu wa sharia na kuitaka Halmashauri kufuata taratibu hizo.

“Hata kama mkitaka kupanua eneo lenu hadi Butiama ni sawa lakini taratibu zifuatwe”. Alisisitiza Rais.

Katika ziara yake katika Manispaa ya Musoma Rais alifungua mradi wa maji eneo la Bukanga, mradi unaokadiriwa kutumia bilioni 51, Ufunguzi wa barabara ya Musoma Simiyu yenye urefu wa km 85.5 pamoja na kutembelea mradi wa ufugaji wa samaki unaofanywa na kikosi cha jeshi la wananchi cha 27 KJ Mkoani Mara.

Matangazo

  • Terms of Reference for the provision of construction supervision consultancy services for urban infrastructure development in Musoma Municipality under the TACTIC Project March 06, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MTENDAJI WA MTAA III October 05, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO October 03, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO October 03, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Mvua iliyoambatana na upepo yasababisha maafa Manispaa ya Musoma

    March 24, 2025
  • UKAGUZI WA MIRADI

    November 05, 2024
  • Watumishi waaswa kuchapa kazi bila kujali uchache wao

    September 08, 2022
  • Dc musoma ataka ubunifu katika uanzishaji wa miradi ya kuongeza kipato

    September 08, 2022
  • Tazama zote

Video

Hotuba ya aliyekuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara
Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sisi ni nani
  • Dira na Dhamira

Viunganishi Linganifu

  • IKULU
  • Tovuti ya Mikopo ya wajasiriamali
  • Public Service Management
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Musoma Municipal Council

    Sanduku la Posta: Box 194 Musoma

    Simu: 0282622560

    Simu ya Mkononi: +255754013734

    Barua pepe: info@musomamc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2017 GWF . All rights reserved.