• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Mrejesho |
    • Lalamika |
Musoma Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Musoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Wasifu wa Kijamii na Kiuchumi wa Halmashauri
      • Viongozi wetu
        • Mayors
        • Municipal Directors
    • Dira na Dhamira
    • Maadili yetu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu ya Sekondari
      • Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Idara ya Miundombinu, Vijijini na Mijini
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Usimamizi na Ununuzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Uhifadhi Maliasili na Mazingira
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
          • Kitengo cha Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
            • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Maeneo ya Viwanda
    • Usafirishaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za maji
    • Maombi ya Huduma
    • Uthibi wa Mazingira
    • Uthibiti wa Misitu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Elimu, Afya na Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili ya Madiwani
    • Ratiba ya vikao
  • Miradi
    • Miradi inayopendekezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Mpango wa Matumizi Bora ya Ardhi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mwongozo wa kushughulikia Malalamiko
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Wasifu wa Kijamii na Kiuchumi wa Halmashauri
    • Miongozo na Nyaraka
    • Sheria ndogo
    • Majarida
    • Council Budget
      • New menu item
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Makala

Uhifadhi wa Mazingira

Imewekwa: August 31st, 2018

Mlima Mukendo Mbioni Kuwa Eneo Lindwa

Waziri wa nchi, ofisi ya makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Januari Makamba ameridhia ombi la Halmashauri ya Manispaa ya Musoma kuufanya mlima Mukendo kuwa eneo lindwa.

Mlima Mukendo unaopatikana katika Mtaa wa Nyerere Kata ya Mukendo Una eneo la mita za mraba 101,974 sawa na ekari 25 au hekari 10. Mlima huu uko umbali wa takribani km 1 kutoka kituo cha mabasi cha mjini.

Awali akisoma taarifa ya uhifadhi wa mlima Mukendo kwa niaba ya Mkurugenzi wa Manispaa Mkuu wa idara ya Mazingira na Uthibiti wa taka ngumu Bw. Dotto Tambuko alieleza sababu zilizopelekea kutaka mlima huo kutangazwa kama eneo lindwa ni uwepo wa uoto wa asili ambao unasaidia kurekebisha hali ya hewa ya Musoma.

Aliongeza kuwa Mlima huu una wanyama wengi hasa wanyama wadogo wadogo na ndege ambao wako katika hatari kubwa ya kuharibiwa kutokana na shughuli za binadamu za kiuchumi na kijamii.

Sababu nyingine ni kama Mimea ya Mlima Mukendo inaondolewa kwa kasi kubwa kuliko inavyorudishiwa, Kuna shughuli zingine za matumizi ya ardhi kwenye eneo hilo inayoweza kusababisha uharibifu wa mazingira pamoja na Mlima Mukendo ukihifadhiwa unaweza kuwa moja ya vivutio muhimu kwa watalii (ecotourism).

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Musoma Mhe. William Gumbo akimkaribisha waziri  Makamba kutoa hatuba alitoa ombi maalum kwa waziri kuwa hatua zote za utangazaji wa eneo hilo zisiathiri hali ya sasa ya mlima ikiwa ni pamoja na taasisi pamoja na miundombinu iliyopo kwa kuwa ina historia ya pekee ya mlima huo.

Kwa upande wake Waziri Makamba alipongeza jitihada ambazo zimekuwa zikifanywa na Manispaa katika uhifadhi wa mlima Mukendo na kutaka jitihada hizo kuungwa mkono na wapenda mazingira na wananchi wote kwa ujumla.

“Mnafanya kazi ya kuitunza hadhi na heshima ya Musoma kwa kutunza mazingira” alisema Makamba  na kuongeza kuwa “Sisi kama wizara tunandaa masharti ya uhifadhi wa mlima Mukendo na matumizi ya mlima” .Alisisitiza.

Makamba alisifia mandhari ya mlima na kusema ” Mji wa musoma umejaliwa kuwa na ziwa hivyo kuufanya kuwa maalum hasa ukingatia mandhari nzuri ya mlima huu tuliopo. Ukiwa hapa unauona mji wote wa musoma pamoja na ziwa Victoria’’. Alisema.

Akitoa shukrani kwa waziri Makamba mkuu wa wilaya ya Musoma Mhe. Vicent Naano alisema Wilaya ya Musoma imejipanga ipasavyo kutunza na kulinda mazingira kwa kupanda miti Mil. 10 ndani ya miaka 5.

Mlima Mukendo upo katika hatua za mwisho za kutangazwa kama eneo lindwa kutokana na kukidhi vigezo vilivyowekwa na serikali ili eneo litangazwe kama eneo maalum linalohitaji kuhifadhiwa na kulindwa.

Matangazo

  • Terms of Reference for the provision of construction supervision consultancy services for urban infrastructure development in Musoma Municipality under the TACTIC Project March 06, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MTENDAJI WA MTAA III October 05, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO October 03, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO October 03, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Mvua iliyoambatana na upepo yasababisha maafa Manispaa ya Musoma

    March 24, 2025
  • UKAGUZI WA MIRADI

    November 05, 2024
  • Watumishi waaswa kuchapa kazi bila kujali uchache wao

    September 08, 2022
  • Dc musoma ataka ubunifu katika uanzishaji wa miradi ya kuongeza kipato

    September 08, 2022
  • Tazama zote

Video

Hotuba ya aliyekuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara
Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sisi ni nani
  • Dira na Dhamira

Viunganishi Linganifu

  • IKULU
  • Tovuti ya Mikopo ya wajasiriamali
  • Public Service Management
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Musoma Municipal Council

    Sanduku la Posta: Box 194 Musoma

    Simu: 0282622560

    Simu ya Mkononi: +255754013734

    Barua pepe: info@musomamc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2017 GWF . All rights reserved.