• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Mrejesho |
    • Lalamika |
Musoma Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Musoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Wasifu wa Kijamii na Kiuchumi wa Halmashauri
      • Viongozi wetu
        • Mayors
        • Municipal Directors
    • Dira na Dhamira
    • Maadili yetu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu ya Sekondari
      • Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Idara ya Miundombinu, Vijijini na Mijini
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Usimamizi na Ununuzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Uhifadhi Maliasili na Mazingira
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
          • Kitengo cha Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
            • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Maeneo ya Viwanda
    • Usafirishaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za maji
    • Maombi ya Huduma
    • Uthibi wa Mazingira
    • Uthibiti wa Misitu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Elimu, Afya na Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili ya Madiwani
    • Ratiba ya vikao
  • Miradi
    • Miradi inayopendekezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Mpango wa Matumizi Bora ya Ardhi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mwongozo wa kushughulikia Malalamiko
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Wasifu wa Kijamii na Kiuchumi wa Halmashauri
    • Miongozo na Nyaraka
    • Sheria ndogo
    • Majarida
    • Council Budget
      • New menu item
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Makala

Wananchi Musoma Kufikiwa na huduma ya Maji kwa asilimia 100

Imewekwa: May 26th, 2022

Wananchi Musoma kufikiwa na huduma ya Maji  kwa asilimia 100

Tatizo la muda mrefu la upatikanaji wa uhakika wa huduma ya maji kwa baadhi ya maeneo ya Manispaa ya Musoma limepatiwa ufumbuzi na hivi karibuni huduma hiyo itatolewa kwa zaidi ya asilimia 100 kwa mji wote wa Musoma kufuatia uimarishaji wa miundombinu unaoendelea kufanywa na mamlaka ya Maji safi na usafi wa mazingira (MUWASA).

Hatua hiyo inafuatia usimikaji wa mabomba pamoja na miundombinu mingine katika maeneo yote ya pembezoni mwa mji wa Musoma pamoja na kukamilika kwa ujenzi wa matanki ya maji katika eneo la Balima Kata ya Buhare.

Awali akihutubia mkutano wa baraza la madiwani mkuu wa wilaya ya Musoma Mhe. Dr. Khalfany Haule, aliweka bayana mafanikio makubwa yaliyofikiwa katika kuhakikisha huduma ya maji katika Mji wa Musoma inakuwa ya uhakika na kwa watu wote.

Dr. Haule, amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa utendaji uliotukuka na nia yake ya dhati ya kuwaletea Wananchi ustawi hasa katika sekta ya maji.

“Sisi sote ni mashahidi Mhe. Rais hana muhari linapokuja suala la upatikanaji wa huduma ya maji, Rais wetu mpendwa amefanya kila linalowezekana kuhakikisha huduma hii muhimu inawafikia Wananchi wote katika mji wetu” Alisema Dr. Haule.

Dr. aliongeza kuwa “ Mwenye macho haambiwi tazama katika muda mfupi ujao Halmashauri yetu itakuwa moja ya Halmashuri ambazo upatikanaji wa huduma ya maji ni zaidi ya asilimia 100 ”.

Aidha, Dr. Haule ameupongeza utendaji wa Halmashauri ya Manispaa ya Musoma katika ukusanyaji mapato pamoja na usimamizi wa miradi ya maendeleo.

“Nasimamia Halmashauri mbili, lakini Halmashauri hii situmii nguvu kubwa katika kuisimamia, utekelezaji wa miradi ya maendeleo ni wa kutia moyo sana” Alisema Dr. Haule.

Upatikanaji wa Huduma ya maji kwa sasa katika Halmashauri ya Manispaa ya Musoma ni asilimia 85.

Matangazo

  • Terms of Reference for the provision of construction supervision consultancy services for urban infrastructure development in Musoma Municipality under the TACTIC Project March 06, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MTENDAJI WA MTAA III October 05, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO October 03, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO October 03, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Mvua iliyoambatana na upepo yasababisha maafa Manispaa ya Musoma

    March 24, 2025
  • UKAGUZI WA MIRADI

    November 05, 2024
  • Watumishi waaswa kuchapa kazi bila kujali uchache wao

    September 08, 2022
  • Dc musoma ataka ubunifu katika uanzishaji wa miradi ya kuongeza kipato

    September 08, 2022
  • Tazama zote

Video

Hotuba ya aliyekuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara
Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sisi ni nani
  • Dira na Dhamira

Viunganishi Linganifu

  • IKULU
  • Tovuti ya Mikopo ya wajasiriamali
  • Public Service Management
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Musoma Municipal Council

    Sanduku la Posta: Box 194 Musoma

    Simu: 0282622560

    Simu ya Mkononi: +255754013734

    Barua pepe: info@musomamc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2017 GWF . All rights reserved.