• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Mrejesho |
    • Lalamika |
Musoma Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Musoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Wasifu wa Kijamii na Kiuchumi wa Halmashauri
      • Viongozi wetu
        • Mayors
        • Municipal Directors
    • Dira na Dhamira
    • Maadili yetu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu ya Sekondari
      • Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Idara ya Miundombinu, Vijijini na Mijini
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Usimamizi na Ununuzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Uhifadhi Maliasili na Mazingira
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
          • Kitengo cha Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
            • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Maeneo ya Viwanda
    • Usafirishaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za maji
    • Maombi ya Huduma
    • Uthibi wa Mazingira
    • Uthibiti wa Misitu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Elimu, Afya na Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili ya Madiwani
    • Ratiba ya vikao
  • Miradi
    • Miradi inayopendekezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Mpango wa Matumizi Bora ya Ardhi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mwongozo wa kushughulikia Malalamiko
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Wasifu wa Kijamii na Kiuchumi wa Halmashauri
    • Miongozo na Nyaraka
    • Sheria ndogo
    • Majarida
    • Council Budget
      • New menu item
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Makala

Wananchi wahimizwa kushiriki kikamilifu Sensa ya watu na makazi

Imewekwa: June 4th, 2022

Wananchi wahimizwa kushiriki kikamilifu Sensa ya watu na makazi

Mkuu wa wilaya ya Musoma Mhe. Dr. Khalfany Haule ametoa wito kwa Wananchi wote wa Manispaa ya Musoma kushiriki kikamilifu katika zezi la sensa ya watu na makazi linalotarajiwa kufanyika tarehe 23 Agosti mwaka huu

Halmashauri ya Musoma ni miongoni mwa Halmashauri nchini ambazo zitashiriki katika zoezi la sensa ya watu na makazi ambapo katika sensa iliyofanyika mwaka 2012 Manispaa ya Musoma ilikuwa na watu zaidi ya 134,000

“Niwaombe kuhusu zoezi la sensa ya watu na makazi, elimu zaidi iendelee kutolewa ili kila mwananchi ashiriki kikamilifu” Alisema Dr. Haule

Tofauti na mazoezi mengine ya sensa yaliyotangulia zoezi la mwaka huu litafanyika kwa ufanisi zaidi huku dhana ya sensa ya watu na makazi ikionekana kwa uhalisia zaidi.

Hii ni kutokana na juhudi za makusudi za serikali ya awamu ya sita katika kukamilisha operesheni ya anuani za makazi nchi nzima zoezi lililolenga kupata takwimu sahihi za makazi na anuani yanakopatikana makazi hayo.

“ Zoezi la Sensa mwaka huu linategemewa kuwa na ufanisi mkubwa kutokana na serikali ya awamu ya sita kuchukua hatua za makusudi kukamilisha zoezi la anuani za makazi ambalo kwa sehemu kubwa litasaidia katika ufanisi wa zoezi la sensa mwaka huu” Alisema Dr. Haule.

Dr. Haule amesisitiza kuwa maandalizi yote muhimu ikiwa pamoja na ulinzi na usalama yaendelee kufanyika ili kusaidia zoezi hili kufanyika kwa Amani na usalama.

“Kamati za Ulinzi na Usalama za Kata na Mitaa zikae na kujadili masuala ya kiusalama, pamoja kuwapa ushirikiano wa kutosha polisi jamii” Aliongeza Dr. Haule.

Kwa upande wake Mstahiki Meya wa Manispaa ya Musoma Mhe. William Gumbo amempongeza mkuu wa Wilaya kwa juhudi zake na maelekezo anayoyatoa mara kwa mara kwa Halmashauri ambayo yamesaidia kwa kiwango kikubwa mafanikio yanayoonekana sasa.

“Nikuhakikishie Mhe. Dc kuanzia sasa wimbo wetu utakuwa sensa, sense,sense na niwatake watumishi wetu wafanye kazi kwa maarifa yote ili kukamilisha azma njema ya serikali yetu” Alisisitiza Mhe. Gumbo

Zoezi la sensa ya watu na makazi hufanyika kila baada ya miaka kumi ambapo takwimu mbalimbali hukusanywa ili kuisaidia serikali kupanga mipango yake ya maendeleo kwa kuzingatia vigezo mbalimbali ikiwa ni pamoja na idadi.

Matangazo

  • Terms of Reference for the provision of construction supervision consultancy services for urban infrastructure development in Musoma Municipality under the TACTIC Project March 06, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MTENDAJI WA MTAA III October 05, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO October 03, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO October 03, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Mvua iliyoambatana na upepo yasababisha maafa Manispaa ya Musoma

    March 24, 2025
  • UKAGUZI WA MIRADI

    November 05, 2024
  • Watumishi waaswa kuchapa kazi bila kujali uchache wao

    September 08, 2022
  • Dc musoma ataka ubunifu katika uanzishaji wa miradi ya kuongeza kipato

    September 08, 2022
  • Tazama zote

Video

Hotuba ya aliyekuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara
Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sisi ni nani
  • Dira na Dhamira

Viunganishi Linganifu

  • IKULU
  • Tovuti ya Mikopo ya wajasiriamali
  • Public Service Management
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Musoma Municipal Council

    Sanduku la Posta: Box 194 Musoma

    Simu: 0282622560

    Simu ya Mkononi: +255754013734

    Barua pepe: info@musomamc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2017 GWF . All rights reserved.