• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Mrejesho |
    • Lalamika |
Musoma Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Musoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Wasifu wa Kijamii na Kiuchumi wa Halmashauri
      • Viongozi wetu
        • Mayors
        • Municipal Directors
    • Dira na Dhamira
    • Maadili yetu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Divisheni ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
      • Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Divisheni ya Elimu ya Sekondari
      • Divisheni ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Divisheni ya Maendeleo ya jamii
      • Divisheni ya Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mijini
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Usimamizi na Ununuzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Uhifadhi Maliasili na Mazingira
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
          • Kitengo cha Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
            • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha ufuatiliaji na Tathmini
      • Kitengo cha Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Maeneo ya Viwanda
    • Usafirishaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za maji
    • Maombi ya Huduma
    • Uthibi wa Mazingira
    • Uthibiti wa Misitu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Elimu, Afya na Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili ya Madiwani
    • Ratiba ya vikao
  • Miradi
    • Miradi inayopendekezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Mpango wa Matumizi Bora ya Ardhi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mwongozo wa kushughulikia Malalamiko
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Wasifu wa Kijamii na Kiuchumi wa Halmashauri
    • Miongozo na Nyaraka
    • Sheria ndogo
    • Majarida
    • Council Budget
      • New menu item
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Makala

Page Title here

Kamati ya Mipango Miji na Mazingira

Kamati ya Mipango Miji na Mazingira inaundwa na jumla ya wajumbe nane (8). Kamati hii inashughulikia masuala ya uzalishaji mali ikiwemo kilimo,mifugo,viwanda,madini, biashara n.k. Aidha, inashughulikia pia miundombinu na suala zima la maendeleo ya ardhi na hifadhi ya mazingira.

Wajumbe wanaounda kamati hii ni:-

  1. Mhe. Naima Samsoni Minga                     - Mwenyekiti
  2. Mhe. Alex Mtake Nyabiti                            - Mstahiki Meya  
  3. Mhe. Mary Phares Nyakutonya                 - Kata ya Mukendo
  4. Mhe.  Elieth Godwin Kumila                      - Kata ya Nyakato
  5. Mhe. Mariam Ally Maro                              - Kata ya Mwigobero
  6. Mhe. David Cosmas Regu                         -Kata ya Kamunyonge
  7. Mhe. Matto Cleophas Kuboja                     -Kata ya Mwisenge
  8. Mhe. John William Nyambarya                   -Kata ya Kwangwa
  9. Mhe. Peter Bernald  Masonyi                     -Kata ya Rwamlimi

Majukumu maalum ya kamati

  1. Kupendekeza mipango ya matumizi ya ardhi katika eneo la Halmashauri.
  2. Kusimamia na kuhakiki miradi ya ujenzi wa masoko,minada,majosho na vituo vya mifugo.
  3. Kusimamia na kuhakiki maeneo ya misitu, mapori, na mbuga zilizotengwa kama hifadhi ya mamlaka ya serikali za Mitaa.
  4. Kupendekeza na kufanya tathmini ya uendelezaji wa mabonde, mito na mabwawa.
  5. Kubuni na kupendekeza namna ya kuthibiti moto.
  6. Kubuni na kupendekeza mikakati ya utumiaji wa nishati mbadala,kuzuia ukatiji miti ovyo, na kuhimizi upandaji miti kwa wingi.
  7. Kuhakikisha kwamba ukaguzi wa majengo unafanyika mara kwa mara.
  8. Kupendekeza sheria ndogo za kamati hii.
  9. Kupendekeza mipango madhubuti ya ujenzi wa barabara Mitaani na Manispaa kwa ujumla.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 06, 2025
  • Terms of Reference for the provision of construction supervision consultancy services for urban infrastructure development in Musoma Municipality under the TACTIC Project March 06, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO October 03, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO October 03, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MSTAHIKI MEYA AGAWA MADAWATI 950 KWA SHULE ZA MSINGI

    January 22, 2026
  • KAMATI YA FEDHA NA UTAWALA YARIDHIA RASIMU YA MPANGO NA BAJETI YA HALMASHAURI KWA MWAKA WA FEDHA 2026/2027

    January 22, 2026
  • BARAZA LA WAFANYAKAZI LAPENDEKEZA MABADILIKO YA ZAWADI YA MFANYAKAZI HODARI KUTOKA LAKI TANO HADI MILIONI 1

    January 21, 2026
  • KAMATI YA MIPANGO MIJI NA MAZINGIRA YARIDHIA RASIMU YA MPANGO NA BAJETI YA KAMATI KWA MWAKA WA FEDHA 2026/2027

    January 20, 2026
  • Tazama zote

Video

Hotuba ya aliyekuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara
Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sisi ni nani
  • Dira na Dhamira

Viunganishi Linganifu

  • IKULU
  • Tovuti ya Mikopo ya wajasiriamali
  • Public Service Management
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Musoma Municipal Council

    Sanduku la Posta: Box 194 Musoma

    Simu: 0282622560

    Simu ya Mkononi: +255754013734

    Barua pepe: info@musomamc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2017 GWF . All rights reserved.