• Wasiliana Nasi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • feedback |
    • Complain |
Musoma Municipal Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Musoma Municipal Council

  • Home
  • About Us
    • History
      • Social Economic Profile
      • Our Leaders
        • Mayors
        • Municipal Directors
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Organization Structure
    • Departments
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu ya Sekondari
      • Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Department of Community Development and social Welfare
      • Idara ya Miundombinu, Vijijini na Mijini
    • Units
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Internal Audit Unit
      • Kitengo cha Usimamizi na Ununuzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Uhifadhi Maliasili na Mazingira
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
          • Kitengo cha Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
            • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
  • Investment Opportunities
    • Tourism Attractions
    • Agriculture
    • Livestock
    • Industrial Areas
    • Transportation
  • Our services
    • Health
    • Education
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fisheries
    • Water facililies
    • Application for services
    • Environmental management
    • Forest Management
  • Councilors
    • List of Councillors
    • Standing Committees
      • Finance and Administration Committee
      • Education, Health and Economic Services Committee
      • Town Planning and Environment Committee
      • HIV AIDS Control Committee
      • Councillors Integrity Committee
    • Meeting schedule
  • Projects
    • Proposed Projects
    • On Going Projects
    • Completed Projects
  • Publications
    • Reports
    • General Planning Scheme
    • Client Service Charter
    • Council Grievances Guidelines
    • Forms
    • Strategic Plan
    • Social Economic Profile
    • Securals and guidelines
    • By Laws
    • Journals
    • Council Budget
      • New menu item
  • Media Center
    • Video Gallery
    • Photo Gallery
    • Releases and Statements
    • Speeches
    • Feature Articles

Africa Environment Day

Posted on: March 3rd, 2017

Halmashauri ya Manispaa ya Musoma yaadhimisha siku ya Mazingira Afrika kwa kupanda miti 7,695.

 

Mkuu wa Wilaya ya Musoma Mhe. Dr. Vincent Anney Naano ameongoza zoezi la upandaji miti 7695 katika maadhimisho ya siku ya mazingira Afrika yaliyofanyika katika shule ya sekondari Kiara.

Akihutubia umma wa wanafunzi na wananchi waliojitokeza katika maadhimisho hayo, mkuu wa wilaya aliwataka watu wote kujihusisha na utunzaji wa mazingira kwa kuwa mazingira yana uhusiano mkubwa na ustawi wa binadamu.

“Maendeleo yanayohitajika Duniani kote leo hususan nchi yetu ni Maendeleo endelevu(sustainable development) ambayo maana yake ni maendeleo yanayomwezesha binadamu wa kizazi cha leo kupata mahitaji yake, bila kuathiri uwezekano wa vizazi vijavyo kupata mahitaji yao”.Alisema

Aidha, Dr. Naano aliongeza kuwa “kamwe hatuwezi kufikia maendeleo endelevu bila kutunza mazingira yetu.Hii ina maana kuwa, mazingira ndicho kikapu kinachohifadhi mahitaji yote ya binadamu”

Dr. Naano alitoa wito kwa wananchi wote wa halmashauri ya manispaa ya Musoma kuitikia kwa moyo mmoja zoezi la upandaji miti kwa kila kaya kupande miti isiyopungua mitatu (3) na kuisimamia hadi ikue.

Wakati huo huo Dr. Naano amewataka wanafunzi kujituma katika masomo yao na kuepukana na vitendo vitakavyoathiri maendeleo yao kitaaluma.

Akionekana kurofurahishwa na matokeo ya kidato cha nne kwa mwaka 2016 katika shule ya Kiara mkuu wa Wilaya alisema “Haiwezekani kati ya wanafunzi zaidi ya 200 waliofanya mitihani, mwanafunzi mmoja tu ndiye aliyepata daraja la kwanza kuna kubwa ya kufanya”. 

Kwa upande mwingine Mkurugenzi wa Manispaa ya Musoma Fidelica G. Myovella amesisitiza suala la utunzaji wa mazingira kwa kupanda miti na kuitunza kwa maendeleo endelevu.

Maadhimisho ya siku ya mazingira Afrika hufanyika kila mwaka tarehe 03. Machi

 

Announcements

  • Terms of Reference for the provision of construction supervision consultancy services for urban infrastracture development in Musoma Municipality under the TACTIC Project March 06, 2025
  • WRITTEN INTERVIEW RESULTS FOR MTENDAJI WA MTAA III October 05, 2024
  • CALL FOR ORAL INTERVIEW October 03, 2024
  • CALL FOR ORAL INERVIEW October 03, 2024
  • View All

Latest News

  • Hurricane affects property in Musoma Municipal Council

    March 24, 2025
  • PROJECT SUPERVISION

    November 05, 2024
  • Watumishi waaswa kuchapa kazi bila kujali uchache wao

    September 08, 2022
  • Dc musoma ataka ubunifu katika uanzishaji wa miradi ya kuongeza kipato

    September 08, 2022
  • View All

Video

Hotuba ya aliyekuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara
More Videos

Quick Links

  • Who we are
  • Vision and Mission

Related Links

  • State House
  • Tovuti ya mikopo ya wajasiriamali
  • Public Service Management
  • PO-RALG
  • National Bereau of Statistics
  • Tanzania Information Services

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Musoma Municipal Council

    Postal Address: Box 194 Musoma

    Telephone: 0282622560

    Mobile: +255754013734

    Email: info@musomamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2017 GWF . All rights reserved.