• Wasiliana Nasi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • feedback |
    • Complain |
Musoma Municipal Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Musoma Municipal Council

  • Home
  • About Us
    • History
      • Social Economic Profile
      • Our Leaders
        • Mayors
        • Municipal Directors
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Organization Structure
    • Departments
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu ya Sekondari
      • Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Department of Community Development and social Welfare
      • Idara ya Miundombinu, Vijijini na Mijini
    • Units
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Internal Audit Unit
      • Kitengo cha Usimamizi na Ununuzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Uhifadhi Maliasili na Mazingira
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
          • Kitengo cha Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
            • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
  • Investment Opportunities
    • Tourism Attractions
    • Agriculture
    • Livestock
    • Industrial Areas
    • Transportation
  • Our services
    • Health
    • Education
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fisheries
    • Water facililies
    • Application for services
    • Environmental management
    • Forest Management
  • Councilors
    • List of Councillors
    • Standing Committees
      • Finance and Administration Committee
      • Education, Health and Economic Services Committee
      • Town Planning and Environment Committee
      • HIV AIDS Control Committee
      • Councillors Integrity Committee
    • Meeting schedule
  • Projects
    • Proposed Projects
    • On Going Projects
    • Completed Projects
  • Publications
    • Reports
    • General Planning Scheme
    • Client Service Charter
    • Council Grievances Guidelines
    • Forms
    • Strategic Plan
    • Social Economic Profile
    • Securals and guidelines
    • By Laws
    • Journals
    • Council Budget
      • New menu item
  • Media Center
    • Video Gallery
    • Photo Gallery
    • Releases and Statements
    • Speeches
    • Feature Articles

Musoma Port set to unlock more economic Potential

Posted on: May 16th, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Musoma Dr. Vincent Naano ameliambia baraza la madiwani kuwa ujenzi wa Bandari ya Musoma utaanza Mwezi Julai na kuongeza kuwa tayari zabuni ya ujenzi imekwisha tangazwa .

Katika hotuba yake aliyoitoa wakati wa mkutano wa baraza la madiwani lililofanyika jana Dr. Naano aliutaka uongozi wa Manispaa ya Musoma kuhakikisha biashara zote zilizokuwa zinafanyika katika eneo hilo la Bandari zinatafutiwa eneo jingine ikiwa ni pamoja na kuandaa miundo mbinu rafiki kwa wafanya biashara hao.

“Ni vyema sasa Halmashauri ikaanda mpango wa kuwapeleka wafanya biashara wa kuku katika soko la Kamunyonge ili kupisha eneo la Bandari” Alisema Dr. Naano na kuongeza kuwa “Suala la ujenzi wa Bandari halina mjadala tena vi vyema mjipange kuona namna ya kuboresha masoko mengine ili wafanya biashara watakaoondoka eneo la Bandari wapate mahali salama pa biashara zao.”

Dr. Naano aliongeza kuwa serikali ya awamu ya tano imekuwa mstari wa mbele katika kujenga miundo mbinu ya kiuchumi ili kuwawezesha wananchi kuongeza kipato chao na kuiongezea serikali mapato.

Fursa zinazotarajiwa baada ya ukamilishaji wa ujenzi wa Bandari ni pamoja na ajira mpya, ukuaji wa biashara na ongezeko la fursa za masoko zitakazotokana na mwingiliano wa wafanyabiashara na wananchi katika jumuiya ya Afrika Mashariki.

Hata hivyo Dr. Naano ameonya tabia ya baadhi ya watendaji wa Halmashauri kutochukua hatua za haraka katika utatuzi wa kero mbalimbali za wananchi na kusababisha serikali kulaumiwa.

“Tunataka kuona hatua za haraka na za makusudi ili azma ya kuwaletea wananchi maendeleo ionekane kwa vitendo, fursa zitakazoletwa na bandari nani anataka  kuzikosa?.” Alisema Dr. Naano.

Bandari ya Musoma ni kati ya Bandari za kimkakati katika ukanda wa Afrika Mashariki na kukamilika kwake kutafungua mawasiliano kwa nchi za Uganda na Kenya,

Announcements

  • A Call for interview June 06, 2025
  • Terms of Reference for the provision of construction supervision consultancy services for urban infrastracture development in Musoma Municipality under the TACTIC Project March 06, 2025
  • CALL FOR ORAL INTERVIEW October 03, 2024
  • CALL FOR ORAL INERVIEW October 03, 2024
  • View All

Latest News

  • RC MTAMBI APPLAUSES MUSOMA MUNICIPAL COUNCIL

    August 12, 2025
  • 11 Pupuls retained after having droped out from school

    July 30, 2025
  • RC MTAMBI RC MTAMBI COMMEND MUSOMA MUNICIPAL COUNCIL FOR UNQUALIFIED AUDIT OPINION

    June 02, 2025
  • Hurricane affects property in Musoma Municipal Council

    March 24, 2025
  • View All

Video

Hotuba ya aliyekuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara
More Videos

Quick Links

  • Who we are
  • Vision and Mission

Related Links

  • State House
  • Tovuti ya mikopo ya wajasiriamali
  • Public Service Management
  • PO-RALG
  • National Bereau of Statistics
  • Tanzania Information Services

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Musoma Municipal Council

    Postal Address: Box 194 Musoma

    Telephone: 0282622560

    Mobile: +255754013734

    Email: info@musomamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2017 GWF . All rights reserved.