• Wasiliana Nasi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • feedback |
    • Complain |
Musoma Municipal Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Musoma Municipal Council

  • Home
  • About Us
    • History
      • Social Economic Profile
      • Our Leaders
        • Mayors
        • Municipal Directors
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Organization Structure
    • Departments
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu ya Sekondari
      • Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Department of Community Development and social Welfare
      • Idara ya Miundombinu, Vijijini na Mijini
    • Units
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Internal Audit Unit
      • Kitengo cha Usimamizi na Ununuzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Uhifadhi Maliasili na Mazingira
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
          • Kitengo cha Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
            • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
  • Investment Opportunities
    • Tourism Attractions
    • Agriculture
    • Livestock
    • Industrial Areas
    • Transportation
  • Our services
    • Health
    • Education
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fisheries
    • Water facililies
    • Application for services
    • Environmental management
    • Forest Management
  • Councilors
    • List of Councillors
    • Standing Committees
      • Finance and Administration Committee
      • Education, Health and Economic Services Committee
      • Town Planning and Environment Committee
      • HIV AIDS Control Committee
      • Councillors Integrity Committee
    • Meeting schedule
  • Projects
    • Proposed Projects
    • On Going Projects
    • Completed Projects
  • Publications
    • Reports
    • General Planning Scheme
    • Client Service Charter
    • Council Grievances Guidelines
    • Forms
    • Strategic Plan
    • Social Economic Profile
    • Securals and guidelines
    • By Laws
    • Journals
    • Council Budget
      • New menu item
  • Media Center
    • Video Gallery
    • Photo Gallery
    • Releases and Statements
    • Speeches
    • Feature Articles

Full Council Enactes Nine Bylaws

Posted on: August 3rd, 2017

Baraza la Madiwani latunga jumla ya Sheria Ndogo Tisa.

Kikao cha baraza la madiwani kilichoketi tarehe 02.08.2017 kimejadili na kupitisha jumla ya sheria ndogo tisa ambazo zimefanyiwa marekebisho na nyingine kutungwa upya.

Sheria ambazo zimefanyiwa marekebisho ni pamoja na ushuru wa huduma, usimamizi wa masoko,magulio na minada,ada ya uzoaji, utupaji taka na usafi wa mazingira pamoja na ada na ushuru mbalimbali.

Aidha, sheria ndogo zinazopendekezwa ni pamoja na ada ya uthibiti na uchimbaji madini ya ujenzi, Uthibiti na usimamizi rasilimali za uvuvi katika mialo, Ulinzi wa Umma pamoja na Kilimo na usalama wa chakula.

Mapendekezo ya utunzi wa sharia mpya na marekebisho yake yanatokana na ukweli kwamba sheria zilizopo sasa ni za muda mrefu na haziendani na uhalisia wa sasa.Mara ya mwisho baraza la madiwani kutunga sheria ndogo ilikuwa mwaka 2010.

Awali akiwasilisha rasimu ya sheria mpya mwanasheria wa Manispaa Bi. Savella Paulo kwa niaba ya Mkurugenzi aliueleza mkutano wa Baraza kuwa sheria zinazopendekezwa zimepitia taratibu zote kabla ya kuletwa katika kikao cha baraza.

Sheria hizo zinalenga kuimarisha ukusanyaji wa mapato ya Halmashauri na kuongeza uwezo wa Halmashauri kujitegemea pamoja na kuweka mazingira bora ya utoaji huduma kwa umma.

Akihitimisha hoja ya kujadili na kupitisha sheria hizo ndogo Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa Mhe. William Gumbo aliueleza mkutano wa baraza kuwa mchakato wa kutunga sheria ndogo ukikamilika utatoa nafuu kubwa katika ukusanyaji wa mapato ya Halmashauri.

“Sheria hizi ni muhimu sana kwa ajili ya kuongeza wigo wa mapato yetu ikizingatiwa kuwa Halmashauri ina upungufu mkubwa wa vyanzo vya mapato ambao unapelekea ukusanyaji wa mapato kuwa finyu na usiokidhi mahitaji ya Halmashauri katika utoaji huduma” alisema Mhe. Gumbo.

Jitihada za kutunga na kuboresha sheria ndogo zinakuja wakati serikali kuu ikiwa tayari imeondoa baadhi ya vyanzo vilivyokuwa vinakusanywa na halmashauri kama kodi ya majengo, kodi ya mabango, pamoja na kodi ya hotel.

Sheria hizi zinatarajiwa kupekekwa katika wizara ya Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa kwa ajili ya kuidhinishwa tayari kwa kutumika kama sheria rasmi.

Announcements

  • Terms of Reference for the provision of construction supervision consultancy services for urban infrastracture development in Musoma Municipality under the TACTIC Project March 06, 2025
  • WRITTEN INTERVIEW RESULTS FOR MTENDAJI WA MTAA III October 05, 2024
  • CALL FOR ORAL INTERVIEW October 03, 2024
  • CALL FOR ORAL INERVIEW October 03, 2024
  • View All

Latest News

  • Hurricane affects property in Musoma Municipal Council

    March 24, 2025
  • PROJECT SUPERVISION

    November 05, 2024
  • Watumishi waaswa kuchapa kazi bila kujali uchache wao

    September 08, 2022
  • Dc musoma ataka ubunifu katika uanzishaji wa miradi ya kuongeza kipato

    September 08, 2022
  • View All

Video

Hotuba ya aliyekuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara
More Videos

Quick Links

  • Who we are
  • Vision and Mission

Related Links

  • State House
  • Tovuti ya mikopo ya wajasiriamali
  • Public Service Management
  • PO-RALG
  • National Bereau of Statistics
  • Tanzania Information Services

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Musoma Municipal Council

    Postal Address: Box 194 Musoma

    Telephone: 0282622560

    Mobile: +255754013734

    Email: info@musomamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2017 GWF . All rights reserved.