• Wasiliana Nasi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • feedback |
    • Complain |
Musoma Municipal Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Musoma Municipal Council

  • Home
  • About Us
    • History
      • Social Economic Profile
      • Our Leaders
        • Mayors
        • Municipal Directors
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Organization Structure
    • Departments
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu ya Sekondari
      • Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Department of Community Development and social Welfare
      • Idara ya Miundombinu, Vijijini na Mijini
    • Units
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Internal Audit Unit
      • Kitengo cha Usimamizi na Ununuzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Uhifadhi Maliasili na Mazingira
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
          • Kitengo cha Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
            • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
  • Investment Opportunities
    • Tourism Attractions
    • Agriculture
    • Livestock
    • Industrial Areas
    • Transportation
  • Our services
    • Health
    • Education
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fisheries
    • Water facililies
    • Application for services
    • Environmental management
    • Forest Management
  • Councilors
    • List of Councillors
    • Standing Committees
      • Finance and Administration Committee
      • Education, Health and Economic Services Committee
      • Town Planning and Environment Committee
      • HIV AIDS Control Committee
      • Councillors Integrity Committee
    • Meeting schedule
  • Projects
    • Proposed Projects
    • On Going Projects
    • Completed Projects
  • Publications
    • Reports
    • General Planning Scheme
    • Client Service Charter
    • Council Grievances Guidelines
    • Forms
    • Strategic Plan
    • Social Economic Profile
    • Securals and guidelines
    • By Laws
    • Journals
    • Council Budget
      • New menu item
  • Media Center
    • Video Gallery
    • Photo Gallery
    • Releases and Statements
    • Speeches
    • Feature Articles

Vice President Visits Musoma Municipal

Posted on: June 8th, 2017

Samia Afananisha vita ya Uvuvi Haramu na Madawa ya Kulevya

Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu ameziagiza kamati zote za ulinzi na usalama Mkoa wa Mara kuhakikisha suala la uvuvi haramu linakwisha katika mkoa wa mara.

Makamu wa Rais aliyasema hayo katika ziara yake aliyoifanya katika Wilaya ya Musoma ambapo alitembelea miradi ya ujenzi wa hospitali ya rufaa ya Mkoa, ujenzi wa barabara za lami KM 9.867, kiwanda cha uchakataji wa samaki na mradi wa maji.

Akihutubia Mamia ya wananchi katika uwanja wa Mukendo makamu wa Rais aliwataka wananchi kushikamana katika utunzaji wa mazingira ikiwa ni pamoja na kupiga vita uvuvi haramu.

“Vita dhidi ya uvuvi haramu ni sawa na vita dhidi ya dawa za kulevya. Naziagiza kamati za ulinzi na usalama za Mikoa na Wilaya kuhakikisha uvuvi haramu unakomeshwa” alisema.

Aliongeza kuwa “ Katika mapambano ya uvuvi haramu ni muhimu kutumia kila silaha kuhakikisha hali hii haiendelei na kuathiri azma ya serikali kuhakikisha kunakuwa na uvuvi endelevu inafikiwa.

Mhe. Samia aliwakumbusha wananchi kuwa viwanda vingi vya samaki havifanyi kazi kutokana na samaki kutokidhi mahitaji ya viwanda hivyo hali inayosababishwa na uvuvi haramu.

“Kati ya  viwanda vinne vilivyopo katika Manispaa ya Musoma ni kiwanda kimoja tu ndicho kinafanya kazi na viwanda vingine vilivyosalia vimefungwa kutokana na kutokuwapo kwa samaki wa kutosha kuhudumia viwanda vyote” Alisema.

Akemea Mimba za Utotoni

Kuhusu suala la mimba za utotoni makamu wa Rais aliwaonya watu wenye tabia za kuwapa uja uzito watoto wa shule kuwa serikali ipo makini na kila atakayebainika atachukuliwa hatua kali za kisheria ikiwa ni pamoja na kufungwa jela miaka 30.

Aliwataka pia wazazi kuwa wakali na kutoshirikiana na watu wanaokatisha ndoto za watoto wa kike kwa kuwapa ujauzito.

“Kuanzia sasa serikali haitakuwa na salia mtume kwa majangiri yanayokatisha ndoto za watoto wa kike na kila mazazi atakaeshirikiana na mtu aliyempa mwanafunzi mimba wote watachukuliwa hatua kali” alisema.

Aidha, akizungumza kuhusu suala la uhaba wa chakula Mhe. Samia alisema serikali kamwe haitaleta chakula kwa wananchi wavivu na kuwataka wananchi kufanya kazi kwa bidii ili kujipatia chakula.

“Chakula kitaletwa kwa wananchi wenye jitihada na kitauzwa kwa bei nafuu “ alisema.

Makamu wa Rais yupo Mkoani Mara kwa ziara ya siku tano ambapo katika ziara hiyo anakusudiwa kutembelea, kuzindua na kufungua miradi mbalimbali ya maendeleo.

Announcements

  • A Call for interview June 06, 2025
  • Terms of Reference for the provision of construction supervision consultancy services for urban infrastracture development in Musoma Municipality under the TACTIC Project March 06, 2025
  • CALL FOR ORAL INTERVIEW October 03, 2024
  • CALL FOR ORAL INERVIEW October 03, 2024
  • View All

Latest News

  • RC MTAMBI APPLAUSES MUSOMA MUNICIPAL COUNCIL

    August 12, 2025
  • 11 Pupuls retained after having droped out from school

    July 30, 2025
  • RC MTAMBI RC MTAMBI COMMEND MUSOMA MUNICIPAL COUNCIL FOR UNQUALIFIED AUDIT OPINION

    June 02, 2025
  • Hurricane affects property in Musoma Municipal Council

    March 24, 2025
  • View All

Video

Hotuba ya aliyekuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara
More Videos

Quick Links

  • Who we are
  • Vision and Mission

Related Links

  • State House
  • Tovuti ya mikopo ya wajasiriamali
  • Public Service Management
  • PO-RALG
  • National Bereau of Statistics
  • Tanzania Information Services

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Musoma Municipal Council

    Postal Address: Box 194 Musoma

    Telephone: 0282622560

    Mobile: +255754013734

    Email: info@musomamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2017 GWF . All rights reserved.