• Wasiliana Nasi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • feedback |
    • Complain |
Musoma Municipal Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Musoma Municipal Council

  • Home
  • About Us
    • History
      • Social Economic Profile
      • Our Leaders
        • Mayors
        • Municipal Directors
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Organization Structure
    • Departments
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu ya Sekondari
      • Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Department of Community Development and social Welfare
      • Idara ya Miundombinu, Vijijini na Mijini
    • Units
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Internal Audit Unit
      • Kitengo cha Usimamizi na Ununuzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Uhifadhi Maliasili na Mazingira
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
          • Kitengo cha Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
            • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
  • Investment Opportunities
    • Tourism Attractions
    • Agriculture
    • Livestock
    • Industrial Areas
    • Transportation
  • Our services
    • Health
    • Education
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fisheries
    • Water facililies
    • Application for services
    • Environmental management
    • Forest Management
  • Councilors
    • List of Councillors
    • Standing Committees
      • Finance and Administration Committee
      • Education, Health and Economic Services Committee
      • Town Planning and Environment Committee
      • HIV AIDS Control Committee
      • Councillors Integrity Committee
    • Meeting schedule
  • Projects
    • Proposed Projects
    • On Going Projects
    • Completed Projects
  • Publications
    • Reports
    • General Planning Scheme
    • Client Service Charter
    • Council Grievances Guidelines
    • Forms
    • Strategic Plan
    • Social Economic Profile
    • Securals and guidelines
    • By Laws
    • Journals
    • Council Budget
      • New menu item
  • Media Center
    • Video Gallery
    • Photo Gallery
    • Releases and Statements
    • Speeches
    • Feature Articles

Musoma Municipal vows to raise education quality, Economy to its Citizens

Posted on: February 12th, 2021

Manispaa ya Musoma kujielekeza kuinua Elimu, Uchumi kwa wakazi wake

Halmashauri ya Manispaa ya Musoma imeshauriwa kuweka kipaumbele katika sekta ya elimu kwa kuimarisha miundombinu ya elimu kama ujenzi wa madarasa, utengenezaji wa madawati pamoja na walimu.

Mbunge wa jimbo la Musoma Mhe. Vedastus Manyinyi Mathayo ameliambia baraza kuwa ni wakati sasa Halmashauri kufikiri kwa kina namna ya kutatua changamoto zinazokabili sekta ya elimu katika Manispaa ya Musoma.

Mhe. Mathayo pia ametoa rai kwa madiwani wakishirikiana na wataalamu kubuni namna nzuri ya kuinua kipato cha wakazi wa Musoma kwa kujenga mazingira wezeshi yatakayochochea ukuaji wa shughuli za uchumi na kuwaletea Wananchi ahueni.

“Musoma tumejaliwa kuwa na ziwa Victoria, ni muhimu kufikiria matumizi sahihi ya ziwa kwa kutengeneza mkakati wa kuboresha shughuli za uvuvi, “ alisema Mhe. Mathayo.

Aidha, Mhe. Mathayo alisema suluhu ya kuongeza mzunguko wa fedha katika Manispaa ya Musoma ni kuongeza eneo la utawala mkakati ambao unaendelea kushughulikiwa na mamlaka nyingine za serikali.

Kwa upande wake Mstahiki Meya wa Manispaa Mhe. William Gumbo amesisitiza umuhimu wa idara mbalimbali kuanza kutafuta namna bora ya kuongeza tija katika shughuli zao.

Mhe. Gumbo amesema “ Idara ya maendeleo ya jamii kuanzia sasa itumike katika utoaji elimu katika miradi na mipango mbalimbali ya jamii, vilevile idara yak limo itafute maeneo ya kilimo na kuhamasisha vijana kujihusisha na uzalishaji wa mazao yenye tija”.

Baraza la madiwani limekamilisha mkutano wake wa robo ya pili kwa kujadili na kupitisha taarifa za utendaji za kamati za kudumu pamoja na maazimio mbalimbali kutoka serikali kuu.

Announcements

  • Terms of Reference for the provision of construction supervision consultancy services for urban infrastracture development in Musoma Municipality under the TACTIC Project March 06, 2025
  • WRITTEN INTERVIEW RESULTS FOR MTENDAJI WA MTAA III October 05, 2024
  • CALL FOR ORAL INTERVIEW October 03, 2024
  • CALL FOR ORAL INERVIEW October 03, 2024
  • View All

Latest News

  • Hurricane affects property in Musoma Municipal Council

    March 24, 2025
  • PROJECT SUPERVISION

    November 05, 2024
  • Watumishi waaswa kuchapa kazi bila kujali uchache wao

    September 08, 2022
  • Dc musoma ataka ubunifu katika uanzishaji wa miradi ya kuongeza kipato

    September 08, 2022
  • View All

Video

Hotuba ya aliyekuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara
More Videos

Quick Links

  • Who we are
  • Vision and Mission

Related Links

  • State House
  • Tovuti ya mikopo ya wajasiriamali
  • Public Service Management
  • PO-RALG
  • National Bereau of Statistics
  • Tanzania Information Services

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Musoma Municipal Council

    Postal Address: Box 194 Musoma

    Telephone: 0282622560

    Mobile: +255754013734

    Email: info@musomamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2017 GWF . All rights reserved.