• Wasiliana Nasi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • feedback |
    • Complain |
Musoma Municipal Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Musoma Municipal Council

  • Home
  • About Us
    • History
      • Social Economic Profile
      • Our Leaders
        • Mayors
        • Municipal Directors
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Organization Structure
    • Departments
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu ya Sekondari
      • Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Department of Community Development and social Welfare
      • Idara ya Miundombinu, Vijijini na Mijini
    • Units
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Internal Audit Unit
      • Kitengo cha Usimamizi na Ununuzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Uhifadhi Maliasili na Mazingira
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
          • Kitengo cha Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
            • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
  • Investment Opportunities
    • Tourism Attractions
    • Agriculture
    • Livestock
    • Industrial Areas
    • Transportation
  • Our services
    • Health
    • Education
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fisheries
    • Water facililies
    • Application for services
    • Environmental management
    • Forest Management
  • Councilors
    • List of Councillors
    • Standing Committees
      • Finance and Administration Committee
      • Education, Health and Economic Services Committee
      • Town Planning and Environment Committee
      • HIV AIDS Control Committee
      • Councillors Integrity Committee
    • Meeting schedule
  • Projects
    • Proposed Projects
    • On Going Projects
    • Completed Projects
  • Publications
    • Reports
    • General Planning Scheme
    • Client Service Charter
    • Council Grievances Guidelines
    • Forms
    • Strategic Plan
    • Social Economic Profile
    • Securals and guidelines
    • By Laws
    • Journals
    • Council Budget
      • New menu item
  • Media Center
    • Video Gallery
    • Photo Gallery
    • Releases and Statements
    • Speeches
    • Feature Articles

Im Satisfied by your Devotion - Mayor

Posted on: February 15th, 2021

Naridhika na Utendaji Wenu – Meya

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Musoma Mhe. William Patrick Gumbo amewapongeza watumishi wa Halmashauri kwa kazi nzuri wanayoifanya kuwahudumia wananchi katika utekelezaji wa majukumu yao.

Mhe. Gumbo ameyasema hayo wakati wa uzinduzi wa baraza la wafanyakazi lililofanyika katika ukumbi wa Halmashauri.

Akilihutubia baraza hilo, Mhe. Gumbo aliwaasa wawakilishi wa watumishi wanaounda baraza hilo kuwa wakati umefika baraza la wafanya kazi litumike kuongeza tija na kupanga malengo ya maendeleo ya Halmashauri.

“Mara nyingi sisi wanasiasa tunapenda kuona matokeo,” Alisema Mhe. Gumbo.

Aidha, Mhe. Gumbo aliwakumbusha watumishi mafanikio ya Halmashauri kwa miaka mitano iliyopita ambapo Halmashauri ilipata tuzo mbalimbali kwa utendaji uliotukuka kutoka baraza la famasia na maonesho ya Nane Nane yaliyofanyika kitaifa Mkoani Simiyu.

“Suala la ubunifu katika utendaji wenu ni muhimu, fanyeni mambo ya ziada yatakayoacha alama,” Alisisitiza Mhe. Gumbo.

Aliwataka watumishi kuongeza maarifa katika kuzikabili changamoto na kuongeza kuwa “Ni matumaini yangu kuwa mwisho wa baraza hili mtakuja na michango mizuri pamoja na mapendekezo thabiti”.

Mhe. Gumbo pia alitoa tahadhali kwa wajumbe wa baraza la wafanyakazi kwa kuwataka kuitisha vikao katika idara na vitengo vyao, uharaka wa utoaji huduma kwa wakati pamoja na kuzingatia huduma kwa wateja.

“Tuwe na lugha nzuri kwa wateja pamoja na weledi,” Aliongeza Mhe. Gumbo.

Awali akimkaribisha mgeni rasmi kuzindua baraza la wafanyakazi, mwenyekiti wa baraza Bi. Fidelica Myovella ambaye pia ni Mkurugenzi wa Manispaa alisema kuwa baraza linalozinduliwa litahudumu kwa muda wa miaka mitatu.

Bi. Myovella alisema baraza la wafanyakazi lina jukumu kubwa kuhakikisha masuala muhimu ya wafanyakazi yanapewa msukumo kutokana na uwakilishi wa watumishi katika kila idara na sekta katika Halmashauri ya Manispaa.

Bi. Myovella alidokeza kuwa kazi kubwa baada ya uzinduzi wa baraza itakuwa kujadili na kupitisha mpango na bajeti ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2021/2022.

Kabla ya uzinduzi wa baraza kulifanyika uchaguzi wa viongozi wapya wa baraza kwa mujibu wa mkataba wa baraza ambapo Bi. Aines Anderson alichaguliwa kuwa katibu mpya wa baraza huku Ndugu Benedict Balole akichaguliwa kuwa katibu msaidizi.

Baraza la wafanyakazi linauhishwa baada ya baraza lililokuwepo kukamilisha muda wake.  

Announcements

  • Terms of Reference for the provision of construction supervision consultancy services for urban infrastracture development in Musoma Municipality under the TACTIC Project March 06, 2025
  • WRITTEN INTERVIEW RESULTS FOR MTENDAJI WA MTAA III October 05, 2024
  • CALL FOR ORAL INTERVIEW October 03, 2024
  • CALL FOR ORAL INERVIEW October 03, 2024
  • View All

Latest News

  • Hurricane affects property in Musoma Municipal Council

    March 24, 2025
  • PROJECT SUPERVISION

    November 05, 2024
  • Watumishi waaswa kuchapa kazi bila kujali uchache wao

    September 08, 2022
  • Dc musoma ataka ubunifu katika uanzishaji wa miradi ya kuongeza kipato

    September 08, 2022
  • View All

Video

Hotuba ya aliyekuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara
More Videos

Quick Links

  • Who we are
  • Vision and Mission

Related Links

  • State House
  • Tovuti ya mikopo ya wajasiriamali
  • Public Service Management
  • PO-RALG
  • National Bereau of Statistics
  • Tanzania Information Services

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Musoma Municipal Council

    Postal Address: Box 194 Musoma

    Telephone: 0282622560

    Mobile: +255754013734

    Email: info@musomamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2017 GWF . All rights reserved.