• Wasiliana Nasi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • feedback |
    • Complain |
Musoma Municipal Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Musoma Municipal Council

  • Home
  • About Us
    • History
      • Social Economic Profile
      • Our Leaders
        • Mayors
        • Municipal Directors
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Organization Structure
    • Departments
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu ya Sekondari
      • Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Department of Community Development and social Welfare
      • Idara ya Miundombinu, Vijijini na Mijini
    • Units
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Internal Audit Unit
      • Kitengo cha Usimamizi na Ununuzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Uhifadhi Maliasili na Mazingira
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
          • Kitengo cha Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
            • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
  • Investment Opportunities
    • Tourism Attractions
    • Agriculture
    • Livestock
    • Industrial Areas
    • Transportation
  • Our services
    • Health
    • Education
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fisheries
    • Water facililies
    • Application for services
    • Environmental management
    • Forest Management
  • Councilors
    • List of Councillors
    • Standing Committees
      • Finance and Administration Committee
      • Education, Health and Economic Services Committee
      • Town Planning and Environment Committee
      • HIV AIDS Control Committee
      • Councillors Integrity Committee
    • Meeting schedule
  • Projects
    • Proposed Projects
    • On Going Projects
    • Completed Projects
  • Publications
    • Reports
    • General Planning Scheme
    • Client Service Charter
    • Council Grievances Guidelines
    • Forms
    • Strategic Plan
    • Social Economic Profile
    • Securals and guidelines
    • By Laws
    • Journals
    • Council Budget
      • New menu item
  • Media Center
    • Video Gallery
    • Photo Gallery
    • Releases and Statements
    • Speeches
    • Feature Articles

Environment Conservation

Posted on: August 31st, 2018

Mlima Mukendo Mbioni Kuwa Eneo Lindwa

Waziri wa nchi, ofisi ya makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Januari Makamba ameridhia ombi la Halmashauri ya Manispaa ya Musoma kuufanya mlima Mukendo kuwa eneo lindwa.

Mlima Mukendo unaopatikana katika Mtaa wa Nyerere Kata ya Mukendo Una eneo la mita za mraba 101,974 sawa na ekari 25 au hekari 10. Mlima huu uko umbali wa takribani km 1 kutoka kituo cha mabasi cha mjini.

Awali akisoma taarifa ya uhifadhi wa mlima Mukendo kwa niaba ya Mkurugenzi wa Manispaa Mkuu wa idara ya Mazingira na Uthibiti wa taka ngumu Bw. Dotto Tambuko alieleza sababu zilizopelekea kutaka mlima huo kutangazwa kama eneo lindwa ni uwepo wa uoto wa asili ambao unasaidia kurekebisha hali ya hewa ya Musoma.

Aliongeza kuwa Mlima huu una wanyama wengi hasa wanyama wadogo wadogo na ndege ambao wako katika hatari kubwa ya kuharibiwa kutokana na shughuli za binadamu za kiuchumi na kijamii.

Sababu nyingine ni kama Mimea ya Mlima Mukendo inaondolewa kwa kasi kubwa kuliko inavyorudishiwa, Kuna shughuli zingine za matumizi ya ardhi kwenye eneo hilo inayoweza kusababisha uharibifu wa mazingira pamoja na Mlima Mukendo ukihifadhiwa unaweza kuwa moja ya vivutio muhimu kwa watalii (ecotourism).

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Musoma Mhe. William Gumbo akimkaribisha waziri  Makamba kutoa hatuba alitoa ombi maalum kwa waziri kuwa hatua zote za utangazaji wa eneo hilo zisiathiri hali ya sasa ya mlima ikiwa ni pamoja na taasisi pamoja na miundombinu iliyopo kwa kuwa ina historia ya pekee ya mlima huo.

Kwa upande wake Waziri Makamba alipongeza jitihada ambazo zimekuwa zikifanywa na Manispaa katika uhifadhi wa mlima Mukendo na kutaka jitihada hizo kuungwa mkono na wapenda mazingira na wananchi wote kwa ujumla.

“Mnafanya kazi ya kuitunza hadhi na heshima ya Musoma kwa kutunza mazingira” alisema Makamba  na kuongeza kuwa “Sisi kama wizara tunandaa masharti ya uhifadhi wa mlima Mukendo na matumizi ya mlima” .Alisisitiza.

Makamba alisifia mandhari ya mlima na kusema ” Mji wa musoma umejaliwa kuwa na ziwa hivyo kuufanya kuwa maalum hasa ukingatia mandhari nzuri ya mlima huu tuliopo. Ukiwa hapa unauona mji wote wa musoma pamoja na ziwa Victoria’’. Alisema.

Akitoa shukrani kwa waziri Makamba mkuu wa wilaya ya Musoma Mhe. Vicent Naano alisema Wilaya ya Musoma imejipanga ipasavyo kutunza na kulinda mazingira kwa kupanda miti Mil. 10 ndani ya miaka 5.

Mlima Mukendo upo katika hatua za mwisho za kutangazwa kama eneo lindwa kutokana na kukidhi vigezo vilivyowekwa na serikali ili eneo litangazwe kama eneo maalum linalohitaji kuhifadhiwa na kulindwa.

Announcements

  • Terms of Reference for the provision of construction supervision consultancy services for urban infrastracture development in Musoma Municipality under the TACTIC Project March 06, 2025
  • WRITTEN INTERVIEW RESULTS FOR MTENDAJI WA MTAA III October 05, 2024
  • CALL FOR ORAL INTERVIEW October 03, 2024
  • CALL FOR ORAL INERVIEW October 03, 2024
  • View All

Latest News

  • Hurricane affects property in Musoma Municipal Council

    March 24, 2025
  • PROJECT SUPERVISION

    November 05, 2024
  • Watumishi waaswa kuchapa kazi bila kujali uchache wao

    September 08, 2022
  • Dc musoma ataka ubunifu katika uanzishaji wa miradi ya kuongeza kipato

    September 08, 2022
  • View All

Video

Hotuba ya aliyekuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara
More Videos

Quick Links

  • Who we are
  • Vision and Mission

Related Links

  • State House
  • Tovuti ya mikopo ya wajasiriamali
  • Public Service Management
  • PO-RALG
  • National Bereau of Statistics
  • Tanzania Information Services

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Musoma Municipal Council

    Postal Address: Box 194 Musoma

    Telephone: 0282622560

    Mobile: +255754013734

    Email: info@musomamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2017 GWF . All rights reserved.