• Wasiliana Nasi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • feedback |
    • Complain |
Musoma Municipal Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Musoma Municipal Council

  • Home
  • About Us
    • History
      • Social Economic Profile
      • Our Leaders
        • Mayors
        • Municipal Directors
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Organization Structure
    • Departments
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu ya Sekondari
      • Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Department of Community Development and social Welfare
      • Idara ya Miundombinu, Vijijini na Mijini
    • Units
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Internal Audit Unit
      • Kitengo cha Usimamizi na Ununuzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Uhifadhi Maliasili na Mazingira
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
          • Kitengo cha Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
            • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
  • Investment Opportunities
    • Tourism Attractions
    • Agriculture
    • Livestock
    • Industrial Areas
    • Transportation
  • Our services
    • Health
    • Education
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fisheries
    • Water facililies
    • Application for services
    • Environmental management
    • Forest Management
  • Councilors
    • List of Councillors
    • Standing Committees
      • Finance and Administration Committee
      • Education, Health and Economic Services Committee
      • Town Planning and Environment Committee
      • HIV AIDS Control Committee
      • Councillors Integrity Committee
    • Meeting schedule
  • Projects
    • Proposed Projects
    • On Going Projects
    • Completed Projects
  • Publications
    • Reports
    • General Planning Scheme
    • Client Service Charter
    • Council Grievances Guidelines
    • Forms
    • Strategic Plan
    • Social Economic Profile
    • Securals and guidelines
    • By Laws
    • Journals
    • Council Budget
      • New menu item
  • Media Center
    • Video Gallery
    • Photo Gallery
    • Releases and Statements
    • Speeches
    • Feature Articles

Inauguration of Municipal Full Council

Posted on: December 14th, 2020

Uzinduzi wa Baraza la Madiwani wafanyika kwa Amani 

Baraza la Madiwani Manispaa ya Musoma limezinduliwa huku viongozi mbalimbali waliohudhuria hafla hiyo wakitoa maelekezo mahsusi kuhusu utekelezaji wa shughuli za serikali na wajibu wa madiwani katika usimamizi wa shughuli hizo.

Mapema akizindua mkutano maalum wa uzinduzi wa baraza katibu tawala wa Wilaya ndugu Justine Manko amewaasa madiwani wapya kuwa wajibu ulioko mbele yao ni kuhakikisha Halmashauri inasonga mbele kwa kusimamia uwajibikaji na huduma za Wananchi.

“Baraza la madiwani lina kazi kubwa mbele yake kuhakikisha linasiamia shughuli zote hasa ujenzi wa vyumba vya madarasa” Alisema.

Aliongeza kuwa vyumba vya madarasa vinavyohitajika ni 23 kwa shule za sekondari.

“Meya atakayechaguliwa leo ahakikishe kuwa maendeleo yanakwenda Kata zote bila kuwepo na ubaguzi” Alisisitiza.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Musoma Mhe. Vincent Naano alisisitiza kuwa utekelezaji wa ilani ya Chama Cha Mapinduzi ni jambo la kufa na kupona huku akifafanua kuwa ilani ni mkataba kati ya Wananchi na Madiwani waliochaguliwa.

“ Kasimamieni kwa dhati huduma za Wananchi kama afya, Elimu na shughuli za kiuchumi kama ujasiriamali”. Alisema Mhe. Naano

Aidha, Mhe. Naano alipendekeza uanzishwaji wa maabara moja ya sayansi kwa shule za sekondari kwa kila mwaka pamoja na uanzishwaji wa shule moja ya bweni ya wasichana.

Kuhusu suala la uwajibikaji wa baraza na watumishi Mhe. Naano aliwataka kwa pamoja kubuni njia na mikakati endelevu katika kuwaendeleza Wananchi kiuchumi.

“ Shughulikieni vipaumbele kama vilivyoelezwa kwenye ilani ya uchaguzi kama kulinda na kuimarisha usawa na utu, kuimarisha uchumi wa kisasa na kuleta mageuzi ya kilimo cha kisasa”. Alisema Mhe. Naano.

Baraza la madiwani linaundwa na jumla ya madiwani wa kuchaguliwa 16, viti maalum 6 pamoja na mbunge wa jimbo ambapo kati ya madiwani 23, madiwani 20 wanatokana na Chama Cha Mapinduzi na Madiwani wawili kutoka Chama Cha Demokrasia na Maendeleo.

Announcements

  • Terms of Reference for the provision of construction supervision consultancy services for urban infrastracture development in Musoma Municipality under the TACTIC Project March 06, 2025
  • WRITTEN INTERVIEW RESULTS FOR MTENDAJI WA MTAA III October 05, 2024
  • CALL FOR ORAL INTERVIEW October 03, 2024
  • CALL FOR ORAL INERVIEW October 03, 2024
  • View All

Latest News

  • Hurricane affects property in Musoma Municipal Council

    March 24, 2025
  • PROJECT SUPERVISION

    November 05, 2024
  • Watumishi waaswa kuchapa kazi bila kujali uchache wao

    September 08, 2022
  • Dc musoma ataka ubunifu katika uanzishaji wa miradi ya kuongeza kipato

    September 08, 2022
  • View All

Video

Hotuba ya aliyekuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara
More Videos

Quick Links

  • Who we are
  • Vision and Mission

Related Links

  • State House
  • Tovuti ya mikopo ya wajasiriamali
  • Public Service Management
  • PO-RALG
  • National Bereau of Statistics
  • Tanzania Information Services

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Musoma Municipal Council

    Postal Address: Box 194 Musoma

    Telephone: 0282622560

    Mobile: +255754013734

    Email: info@musomamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2017 GWF . All rights reserved.