• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Mrejesho |
    • Lalamika |
Musoma Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Musoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Wasifu wa Kijamii na Kiuchumi wa Halmashauri
      • Viongozi wetu
        • Mayors
        • Municipal Directors
    • Dira na Dhamira
    • Maadili yetu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu ya Sekondari
      • Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Idara ya Miundombinu, Vijijini na Mijini
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Usimamizi na Ununuzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Uhifadhi Maliasili na Mazingira
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
          • Kitengo cha Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
            • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Maeneo ya Viwanda
    • Usafirishaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za maji
    • Maombi ya Huduma
    • Uthibi wa Mazingira
    • Uthibiti wa Misitu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Elimu, Afya na Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili ya Madiwani
    • Ratiba ya vikao
  • Miradi
    • Miradi inayopendekezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Mpango wa Matumizi Bora ya Ardhi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mwongozo wa kushughulikia Malalamiko
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Wasifu wa Kijamii na Kiuchumi wa Halmashauri
    • Miongozo na Nyaraka
    • Sheria ndogo
    • Majarida
    • Council Budget
      • New menu item
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Makala

Makamu wa Rais Atembelea Manispaa ya Musoma

Imewekwa: June 8th, 2017

Samia Afananisha vita ya Uvuvi Haramu na Madawa ya Kulevya

Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu ameziagiza kamati zote za ulinzi na usalama Mkoa wa Mara kuhakikisha suala la uvuvi haramu linakwisha katika mkoa wa mara.

Makamu wa Rais aliyasema hayo katika ziara yake aliyoifanya katika Wilaya ya Musoma ambapo alitembelea miradi ya ujenzi wa hospitali ya rufaa ya Mkoa, ujenzi wa barabara za lami KM 9.867, kiwanda cha uchakataji wa samaki na mradi wa maji.

Akihutubia Mamia ya wananchi katika uwanja wa Mukendo makamu wa Rais aliwataka wananchi kushikamana katika utunzaji wa mazingira ikiwa ni pamoja na kupiga vita uvuvi haramu.

“Vita dhidi ya uvuvi haramu ni sawa na vita dhidi ya dawa za kulevya. Naziagiza kamati za ulinzi na usalama za Mikoa na Wilaya kuhakikisha uvuvi haramu unakomeshwa” alisema.

Aliongeza kuwa “ Katika mapambano ya uvuvi haramu ni muhimu kutumia kila silaha kuhakikisha hali hii haiendelei na kuathiri azma ya serikali kuhakikisha kunakuwa na uvuvi endelevu inafikiwa.

Mhe. Samia aliwakumbusha wananchi kuwa viwanda vingi vya samaki havifanyi kazi kutokana na samaki kutokidhi mahitaji ya viwanda hivyo hali inayosababishwa na uvuvi haramu.

“Kati ya  viwanda vinne vilivyopo katika Manispaa ya Musoma ni kiwanda kimoja tu ndicho kinafanya kazi na viwanda vingine vilivyosalia vimefungwa kutokana na kutokuwapo kwa samaki wa kutosha kuhudumia viwanda vyote” Alisema.

Akemea Mimba za Utotoni

Kuhusu suala la mimba za utotoni makamu wa Rais aliwaonya watu wenye tabia za kuwapa uja uzito watoto wa shule kuwa serikali ipo makini na kila atakayebainika atachukuliwa hatua kali za kisheria ikiwa ni pamoja na kufungwa jela miaka 30.

Aliwataka pia wazazi kuwa wakali na kutoshirikiana na watu wanaokatisha ndoto za watoto wa kike kwa kuwapa ujauzito.

“Kuanzia sasa serikali haitakuwa na salia mtume kwa majangiri yanayokatisha ndoto za watoto wa kike na kila mazazi atakaeshirikiana na mtu aliyempa mwanafunzi mimba wote watachukuliwa hatua kali” alisema.

Aidha, akizungumza kuhusu suala la uhaba wa chakula Mhe. Samia alisema serikali kamwe haitaleta chakula kwa wananchi wavivu na kuwataka wananchi kufanya kazi kwa bidii ili kujipatia chakula.

“Chakula kitaletwa kwa wananchi wenye jitihada na kitauzwa kwa bei nafuu “ alisema.

Makamu wa Rais yupo Mkoani Mara kwa ziara ya siku tano ambapo katika ziara hiyo anakusudiwa kutembelea, kuzindua na kufungua miradi mbalimbali ya maendeleo.

Matangazo

  • Terms of Reference for the provision of construction supervision consultancy services for urban infrastructure development in Musoma Municipality under the TACTIC Project March 06, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MTENDAJI WA MTAA III October 05, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO October 03, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO October 03, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Mvua iliyoambatana na upepo yasababisha maafa Manispaa ya Musoma

    March 24, 2025
  • UKAGUZI WA MIRADI

    November 05, 2024
  • Watumishi waaswa kuchapa kazi bila kujali uchache wao

    September 08, 2022
  • Dc musoma ataka ubunifu katika uanzishaji wa miradi ya kuongeza kipato

    September 08, 2022
  • Tazama zote

Video

Hotuba ya aliyekuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara
Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sisi ni nani
  • Dira na Dhamira

Viunganishi Linganifu

  • IKULU
  • Tovuti ya Mikopo ya wajasiriamali
  • Public Service Management
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Musoma Municipal Council

    Sanduku la Posta: Box 194 Musoma

    Simu: 0282622560

    Simu ya Mkononi: +255754013734

    Barua pepe: info@musomamc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2017 GWF . All rights reserved.