• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Mrejesho |
    • Lalamika |
Musoma Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Musoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Wasifu wa Kijamii na Kiuchumi wa Halmashauri
      • Viongozi wetu
        • Mayors
        • Municipal Directors
    • Dira na Dhamira
    • Maadili yetu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu ya Sekondari
      • Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Idara ya Miundombinu, Vijijini na Mijini
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Usimamizi na Ununuzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Uhifadhi Maliasili na Mazingira
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
          • Kitengo cha Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
            • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Maeneo ya Viwanda
    • Usafirishaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za maji
    • Maombi ya Huduma
    • Uthibi wa Mazingira
    • Uthibiti wa Misitu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Elimu, Afya na Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili ya Madiwani
    • Ratiba ya vikao
  • Miradi
    • Miradi inayopendekezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Mpango wa Matumizi Bora ya Ardhi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mwongozo wa kushughulikia Malalamiko
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Wasifu wa Kijamii na Kiuchumi wa Halmashauri
    • Miongozo na Nyaraka
    • Sheria ndogo
    • Majarida
    • Council Budget
      • New menu item
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Makala

Manispaa ya Musoma yapata Meya Mpya

Imewekwa: December 14th, 2020

Manispaa ya Musoma yapata Meya Mpya

Halmashauri ya Manispaa ya imepata Meya mpya atakaeiongoza kwa kipindi cha miaka mitano ijayo.

Katika uchaguzi uliyofanyika kumpata Meya wa Manispaa ya Musoma Mhe. William P. Gumbo (CCM) amechaguliwa kuwa Mstahiki Meya wa Manispaa baada ya kumshinda Mhe. Golden M. Charles (CHADEMA).

Aidha, katika nafasi ya Naibu Meya wa Manispaa, Mhe. Haji Mugeta Mtete (CCM) amechaguliwa kuwa naibu Meya baada ya kumshinda Mhe. Fredrick C. Mganga (CHADEMA).

Akitoa neno la shukrani baada ya kuchaguliwa Mstahiki Meya William Gumbo aliwashukuru wajumbe kwa imani waliyoonesha kwake na kuahidi kuwalipa utumishi uliotukuka.

“Nawaomba Wahe. Madiwani wenzangu mfahamu kuwa tuna kazi kubwa mbele yetu kuhakikisha Halmashauri yetu inapiga hatua, niwaombe ushirikiano ili kufikia malengo yetu yaliyoainishwa vizuri kwenye ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi”. Alisema Mhe. Gumbo.

Aliongeza kuwa “Leo tunaunda kamati za kudumu ambazo ndizo hasa zitasimamia shughuli mbalimbali za kisekta na kutoa matokea chanya katika ujenzi madhubuti wa Manispaa yetu.

Kwa upande wa watumishi Mhe. Gumbo amewataka kutekeleza majukumu yao kwa weledi na ubunifu ili kuleta tija katika huduma mbalimbali za Wananchi.

Mhe. Gumbo pia ameunda kamati mbalimbali za kudumu kwa kuzingatia usawa na ufanisi wa kamati kama ifuatavyo.

Kamati ya Elimu, Afya na huduma za uchumi inaundwa na Mhe. David Cosmas Regu (Mwenyekiti), William Gumbo, Vedastus M. Mathayo, Alex M. Nyabiti na Jumbula Maclaud Rugola.

Wengine ni Mhe. Cleophas Mato Kuboja, Juma Hamis Idd, Mariam Sospeter Jackson na Kulwa P. Mahamba.

Kwa upande wa kamati ya Mipango Miji na Mazingira wajumbe wanaounda kamati ni Mhe. Charles M. Wambura (Mwenyekiti), William P. Gumbo, Vedastus M. Mathayo, Masumbuko S. Magesa na Amina Shabani Masisa.

Wengine ni Abbas M. Chamba, Dickson M. Mwandala, Fredrick C. Mganga, Asha M. Swalehe na Joseph K. Kitina.

Kamati ya kuthibiti UKIMWI inaundwa na Mhe. Haji Mtete (Mwenyekiti), Juma Hamis Idd, Amina Shaban Masisa, Asha M. Swalehe na Mhe. William P. Gumbo.

Kamati ya maadili ya Madiwani inaundwa na Mhe. Juma Hamis Idd (Mwenyekiti), Mariam Sospeter Jackson, Naima Minga Samson na William P. Gumbo.

 Kwa upande wa kamati ya Fedha na Utawala wajumbe ni Mhe. William P. Gumbo (mwenyekiti), Haji M. Mtete, Vedastus M. Mathayo, David C. Regu, Charles M. Wambura, Juma Hamis Idd, Golden Marcus Charles, Erieth Godwin kumila, Marysiana M. Masasi na Naima Minga Samson

Matangazo

  • Terms of Reference for the provision of construction supervision consultancy services for urban infrastructure development in Musoma Municipality under the TACTIC Project March 06, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MTENDAJI WA MTAA III October 05, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO October 03, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO October 03, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Mvua iliyoambatana na upepo yasababisha maafa Manispaa ya Musoma

    March 24, 2025
  • UKAGUZI WA MIRADI

    November 05, 2024
  • Watumishi waaswa kuchapa kazi bila kujali uchache wao

    September 08, 2022
  • Dc musoma ataka ubunifu katika uanzishaji wa miradi ya kuongeza kipato

    September 08, 2022
  • Tazama zote

Video

Hotuba ya aliyekuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara
Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sisi ni nani
  • Dira na Dhamira

Viunganishi Linganifu

  • IKULU
  • Tovuti ya Mikopo ya wajasiriamali
  • Public Service Management
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Musoma Municipal Council

    Sanduku la Posta: Box 194 Musoma

    Simu: 0282622560

    Simu ya Mkononi: +255754013734

    Barua pepe: info@musomamc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2017 GWF . All rights reserved.